chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
Hizi ndo rist zinazo tolewa na hawa jamaa wa tra pale mtu anapo kamatwa na pkpk, gar, duka n.k. Na akajtetea kuwa hana hela kamili kama wanavyo htaj basi hudaiwa operation charge ambayo wao wanadai n tsh 35000, but hata ukiwa na sh elfu 20 rist wanatoa . Utata unakuja kwene hyo rist wanayotoa, n kama inavyo onekana kwene picha. Kwana wanao elewa zaid watudadavulie hl