englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
kuna watu wanaishi na wakina sisi tunawasindikiza ila tutafika tu
kuna watu wanaishi na wakina sisi tunawasindikiza ila tutafika tu
Hili jengo kila uchaguzi wa Zimbabwe ukikaribia linawekwa kwenye mitandao na kuwadanganya watu kuwa ni la Mugabe.
Mara watu wanyang'anywe redio, mara picha feki...
kuna watu wanaishi na wakina sisi tunawasindikiza ila tutafika tu
Mwache afaidi...wenzake wengi wameishakufa...kama vile.. Kenyatta, Lumumba...Nyerere...Nkurumah..Haile Selasie..nk yeye tu amebaki kutuletea habari.
Hili jengo kila uchaguzi wa Zimbabwe ukikaribia linawekwa kwenye mitandao na kuwadanganya watu kuwa ni la Mugabe.
Siasa za Zimbabwe bana kama BAVICHA!!!
Mara watu wanyang'anywe redio, mara picha feki...
kuna watu wanaishi na wakina sisi tunawasindikiza ila tutafika tu
basi acha kazi kwanza halafu ndo utuletee injili vizuriNchi & vyote viujazavyo ni mali ya Bwana.
Tutakufa tutaviacha
Weka Hazina yako Mbinguni ambapo Nondi
hazita haribu .
Ukiwa unabisha onyesha evidence, haya hiyo unayosema ya Mugabe ikwapi tuione? Au umeamua kutapika kisa umeona konokono kakatiza