ninapokuwa safarini nachukia sana:
1.kukaa na mtu anayenuka kikwapa
2.mtu anayejamba jamba hovyo
3.........
4.......
We hupendi nini?
mie sipendi watu wanaotoa mada za kipuuzi km hizi unadhani wote wana uwezo wa perfum,cpend pia kucomment ujinga km niliosema bt for real cpend lolote mtakalosema
mimi sipedi watu:blah::blah:
sipendi watu wanene hata kidogo, naona kama wavivu na wananuka, mi kazi yangu siwapi, kila wakikaa kona lazima wajambe....