Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Jamani tuna landlord etu yaani tuko nae hapa hapa yeye hana mume alishaachika nadhan alitendwa sana enzi za ujana wake lakini naona tendo la kutokuwa na mtu linautesa sana jamani
yaani yeye bila kutukanana na watu kila siku ajafurahi mpaka majuzi dada mmoja kaama kaita matarumbeta watu wakahisi sherehe kumbe anamuaga mama kwa mafumbo na maishiri watuu wakajimwaga binti akaondoka na gari limejaa vitu vyake ...haooo
jamani hivi usipokuwa na mwenza ndi waathirika na hasira hivi ama sie ndie twageuka wenza yaani ukimwona na majiran wenzake awaongei utasema wake wenza...
Kazi kweli kweli
wenye kukaa
nyumba za @@##$#$
yaani yeye bila kutukanana na watu kila siku ajafurahi mpaka majuzi dada mmoja kaama kaita matarumbeta watu wakahisi sherehe kumbe anamuaga mama kwa mafumbo na maishiri watuu wakajimwaga binti akaondoka na gari limejaa vitu vyake ...haooo
jamani hivi usipokuwa na mwenza ndi waathirika na hasira hivi ama sie ndie twageuka wenza yaani ukimwona na majiran wenzake awaongei utasema wake wenza...
Kazi kweli kweli
wenye kukaa
nyumba za @@##$#$