Na Hugo anayegombea umalaika so kashikwa na shetani mkuu?Maaskofu Hawa walishikwa kichwa na mbowe ziro watalipeleka taifa kubaya na matamko ambayo hata hawakubaliani
Atatumbuliwa huyu mjinga mjinga,, anapingana na Gabriel the Great?Ni shida sana!
Tumia akili weye! Hivi,unaweza kuwa ziro halafu ukawashika akili maaskofu?Stupid!Maaskofu Hawa walishikwa kichwa na mbowe ziro watalipeleka taifa kubaya na matamko ambayo hata hawakubaliani
Sifieni kama kuna mambo ya kusifia na onyeni kama kuna mambo ya kuonya lakini hekima busara kwa sababu kauli hiyo ni kauli ya moto inaweza ikatujenga inaweza ikatubomoa.Kuna namna nyingi za kurekebisha, tusije tukageuza na kujadiliana na Maaskofu, Askofu anasema tunamjibu, tutakuwa tunamkosea Mungu.
Mimi sitaki kusema Maaskofu wamekosea au hawajakosea lakini nataka kusema haya majadiliano ukiyaangalia yanatokea wapi? Tusije tukaingia kwenye mtego wa Ibilisi tukajikuta tukimtizama askofu fulani tunaona chama fulani. Askofu unaonekana kama chama fulani, mfano mimi ni mwanaccm nina dhambi zangu nataka kuja kuungama kwako, ntaungamaje kwako wakati wewe una itikadi tofauti na mimi?
Chama chetu kinaamini binadamu wote ni sawa, kinaamini katika utu, kinaamini katika kujitegemea, kinaamini katika heshima ya watu, kinaamini katika kusema kweli, kinaamini katika vita dhidi ya rushwa, kinaamini katika umoja kinaamini katika kujitoa, kinaamini katika kazi ni kipimo cha utu.
Sasa nikikutizama wewe unaamini katika ubwanyenye, unamini katika kuhodhi mali, unaamini katika umangimeza, unaamini katika mimi ni mwenyekiti peke yangu na hakuna mwingine. Sasa utaanza kunipoteza.
Hebu jiongeze bhas?!NNimeamini bongo kuna vilaza wengi sana maana watu wengi wameshindwa kugundua hizi kelele na haya maazimio yanatokana na nini?? Bongo lala mnaona kawaida tu Hii ni vita ya kiuchumi nyumbuu nyie angalieni huko mbele. Hivi mnafikiri watu wa nchi jirani na hao watu wa makinikia na madawa ya kulevya wanaitakia hii nchi mema?? Ila kwa vile wabongo wengi vilaza wanafuata mkumbo tu hawajui hata hawa wanaowachochea wanataka nini. Za kuambiwa changanya na za kwako.
Maaskofu Hawa walishikwa kichwa na mbowe ziro watalipeleka taifa kubaya na matamko ambayo hata hawakubaliani
anaamini sitishwi na yeyote wala lolotembona anaji-contradict mwenyewe kwenye statement hii hii moja tu?
kwa kweli jamaa wamechanganyikiwa si mchezo!!
Hivi ndugu zako bado wanaamini kweli kuwa wewe ni binadamu.?Maaskofu Hawa walishikwa kichwa na mbowe ziro watalipeleka taifa kubaya na matamko ambayo hata hawakubaliani
Da komenti kama hizi huwa zinanifariji sana,sasa huwa naamini kuwa kumbe Tanzania bado ina watu wenye akili nyingi.ni raha ilioje nchi ikiongozwa kwa sheria? kutoa maoni ni haki ya mwananchi kisheria. mahakama zipo, kama matamko, waraka nk vimevunja sheria, wahusika wapelekwe kwa pilato. kinyume chake ni kutaka kuiamisha dunia kuwa watanzania wote ni wajinga, kasoro mtu mmoja.
Aisee nimejaribu kulinganisha comment hii na kinacho daiwa majibu ya raisi kwa masskofu wakiluteri (wahubiri viwanda tuu) nimejifunza kitu kikubwa sana .hiko aja ya kuheshimu hisia za kila mtuOvyo kabisa, askofu akiisema serikali anavalishwa uchadema. Watu wakiuawa wanyamaze tu, wahubiri viwanda. ccm mtatuteletea mauaji ya kimbari.