Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30 leo.
Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).
KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.
Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.
Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.
Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).
KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.
Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.
Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.