Hukumu ya uonevu yatolewa leo katika Mahakama ya Wilaya Karatu

Arushaone

JF-Expert Member
Mar 31, 2012
15,136
13,258
Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30 leo.

Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).

KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.

Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.

Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.
 
Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumhwa kafungwa miaka 30 leo

Jeuri ya kupenda mademu wa familia za kitajiri hayo ndio malipo yake
 
Duh! wamepindisha mambo hapo

Kweli manoah hata mimi nilipopata taarifa hizi ilibidi niende eneo husika na nikapata taarifa kutoka ndani ya mahakama kuwa wameshinikizwa kutoa adhabu husika.

Msichana kahamishwa shule.
 
Last edited by a moderator:
mimi sitoi maoni yangu kwanza mpaka nitakapoona nakala ya mwenendo na hukumu.Mleta maada tafadhali tuwekee hapa ili tutoe maoni ya kisheria vinginevyo hizo bado ni tetesi. Kwa jamiiforums ni aibu tukijadili tetesi kwa mambo ambayo yameshatokea na siyo yanatarajiwa kutokea. Huu ni ukurasa makini wa watu makini.
 
mimi sitoi maoni yangu kwanza mpaka nitakapoona nakala ya mwenendo na hukumu.Mleta maada tafadhali tuwekee hapa ili tutoe maoni ya kisheria vinginevyo hizo bado ni tetesi. Kwa jamiiforums ni aibu tukijadili tetesi kwa mambo ambayo yameshatokea na siyo yanatarajiwa kutokea. Huu ni ukurasa makini wa watu makini.
Kateni rufaa mapema mahakama kuu.MADC katika mahakama za Wilaya wanatisha sana mahakimu hasa wasio na msimamo na wanaendekeza rushwa kwa kutumia kamati ya Ulinzi na kamati ya maadili ya mahakama ya wilaya ambayo DC ni mjumbe na mwenyekiti.
 
Inasikitisha sana, kuona mambo kama haya yanatendeka tena wazi wazi pasipo kificho kisa cheo au pesa.. Na kama hana wafatiliaji ndio basi tena kaisha umia ndugu, nakumbuka nilikua na kesi mwanzo ilipelekeshwa kwa nguvu ya pesa ila nilipo shtuka tu, ikabidi niweke kizingiti mpaka sasa ivi nao wana mbwela mbwela mahakani wanatafuta pa kutokea..

Kweli manoah hata mimi nilipopata taarifa hizi ilibidi niende eneo husika na nikapata taarifa kutoka ndani ya mahakama kuwa wameshinikizwa kutoa adhabu husika.

Msichana kahamishwa shule.
 
Kesi nyingi za Karatu zimekaa za kionevu. Kwa kweli Karatu inastahili ichunguzwe.
 
Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30 leo.

Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).

KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.

Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.

Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.

huyo mkuu wa wilaya ndiyo alikuwa hakimu siku hiyo? kama sivyo unawezaje kusema ameingilia kesi?!!
labda wanasheria waje hapa watusaidie. hiyo imetokea hivi karibuni kwa mdogo wangu mmoja alitia mimba mtoto wa shule, yule binti alikuwa mtoto wa askari na binti alikuwa amechetuka kiasi kwamba kati ya mvulana na msichana msichana ndiye alikuwa anamharibu mvulana, yule mtoto inaonekana alikuwa anampenda sana bwana mdogo kwa sababu alimtangazia baba yake wakimfunga "bwana yake" atajiuwa, yule bwana alinifuata mimi na kuniomba tuyamalize kinyumbani nikamwambia sina pesa ya kumpa (nilishaongea na yule mtoto akasema atatoroka), kweli yule binti alitoroka na kesi iliendeshwa miezi kadhaa ikiahirishwa kila mara baadaye ilifutiliwa mbali. kama nilivyosema, tusubiri wanasheria waje, huenda ushahidi ulimtia hatiani huyo ndugu yako, na wewe kama ndugu una maumivu kwa hiyo umeamua kuripua kwenye media ili utulize maumivu kidogo. btw, kwa nini msikate rufaa?
 
Kweli manoah hata mimi nilipopata taarifa hizi ilibidi niende eneo husika na nikapata taarifa kutoka ndani ya mahakama kuwa wameshinikizwa kutoa adhabu husika.

Msichana kahamishwa shule.

la msingi ni kukata rufaa kama amefanyiwa uonevu
 
Last edited by a moderator:
Ni CC/99/2012. Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kulala na mwanafunzi wa sekondary, bila hata ushahidi wa kidaktari wala hata dada aliyekuwa rafiki wa mtuhumiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi, kesi ikaingiliwa na DC, mtuhumiwa kafungwa miaka 30 leo.

Sheria inasemaje kwa kuwa hakukuwa na vipimo vya ki-daktari kuonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika, pia shahidi muhimu ambaye ndiye dada anayesemekana kuwa alifanya kitendo hicho hakuitwa mahakamani kutoa ushahidi. Pia hakupimwa kuonesha manii hivyo kukosekana ushahidi muhimu (concrete evidence).

KUHUSIKA KWA MKUU WA WILAYA.

Mkuu wa wilaya bila ya kufanya utafiti kama wahusika walikuwa wapenzi ama la yeye alichosema ni kuwa madhali mtuhumiwa amekuwa na mahusiano na mwanafunzi afungwe miaka 30 na ndicho kilichofanyika leo.

Jina la mfungwa Emanuel Andrea. Kesi ilifunguliwa 29/09/2012.

Karatu kesi nyingi ni za uonevu, ubabe na nguvu ya pesa.
 
Back
Top Bottom