TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
[h=6]Hivi huyu Riziwan kikwete ni nani ndani ya nchi hii? mimi nikiwa mmoja wapo wa wa wapiga kura wa shinyanga tuliofungua kesi dhidi ya mbunge feki wa shinyanga mjini ndugu Masele nimeshindwa kuelewa huyu ridhiwan ni nani nadani ya nchi hii hasa baada ya mahakama kuu kanda ya Tabora kutupilia mbali madai yetu kwa sababu zisizo na mshiko wowote ikonyesha kuwa kuna mkono wa mtu, baada ya kazi zangu za kiintelijensia kuzianza nimekuja kugundua kuwa ile hukumu iliandaliwa Orion Tabora hotel ambapo Masele, katibu mwenezi wa CCM shinyanga mjini walionekana Tabora tangu tarehe 24 mwezi uliopita na wote watatu walilala hotel ya Orion tabora hotel na waliandikisha mapokezi majina yao halisi lengo likiwa ni kufanya juu chini ili Masele amabye ni rafiki yake na Ridhiwani Kikwete hapotezi ubunge wake kwa maana kila mtu anajuwa hata yeye mwenyewe anajuwa kuwa hawezi kushinda
Hiyo hukumu ina mkono wa Ridhiwan labda kwa maelezo ya mzee wake
Napenda kutangaza kuwa kama CHADEMA tukichukua nchi 2015 lazima riziwan awajibike kwa huo uijnga anaoufanya , nina namab za vyumba walivyolala tangu hiyo tarehe na kwanini wawepo tabora siku 8 kabla ya hukumu????[/h]
Hiyo hukumu ina mkono wa Ridhiwan labda kwa maelezo ya mzee wake
Napenda kutangaza kuwa kama CHADEMA tukichukua nchi 2015 lazima riziwan awajibike kwa huo uijnga anaoufanya , nina namab za vyumba walivyolala tangu hiyo tarehe na kwanini wawepo tabora siku 8 kabla ya hukumu????[/h]