Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Hukumu ya Dowans ya ICC yatua Mahakama Kuu Dar
Na Waandishi wetu
19th January 2011
Mchakato wa kuisajili waanza
UVCCM nao waipinga Dowans
Mitambo ya Dowans
[FONT=ArialMT, sans-serif]Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara (ICC), imewasilisha hukumu yake Mahakama Kuu ya Tanzania, inayoiamuru Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuilipa fidia ya Sh. bilioni 94 kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans Tanzania Limited, kwa madai ya kuvunjiwa mkataba wake.[/FONT]
Endelea hapa http://www.ippmedia.com/
My take:Kumekucha ndo maana kumekuwa na vikao vyingi vya dharura
Na Waandishi wetu
19th January 2011
Mitambo ya Dowans
[FONT=ArialMT, sans-serif]Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara (ICC), imewasilisha hukumu yake Mahakama Kuu ya Tanzania, inayoiamuru Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuilipa fidia ya Sh. bilioni 94 kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans Tanzania Limited, kwa madai ya kuvunjiwa mkataba wake.[/FONT]
Endelea hapa http://www.ippmedia.com/
My take:Kumekucha ndo maana kumekuwa na vikao vyingi vya dharura