Huku ni Kujikweza au Ushamba?

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
Unafiki....jpg

Hapa yupo na Mzungu....... kisa mzungu hakutaka kukanyaga kanga wala mkeka........


IMG_7819.JPG

Hapa Akiwa na Wamatumbwi....atadai mkeka...kanga...nk eti asichafuke....usanii mtupu!!
 
Haha, achana na viongozi wetu. Ngoja 2015 ndo kitaeleweka. Si wameshafanya uongozi na ufalme.
 
Haha, achana na viongozi wetu. Ngoja 2015 ndo kitaeleweka. Si wameshafanya uongozi ni ufalme.
 
kaka mtoto wa mkuliuma sijui analima nyama kwake?haina shida sana tunachohitaji ni mabadiliko...watu tubadilike
 
Duh yani shambani na mkeka na door-mat, huyu ndo mtoto wa mkulima, ndo babake alivyokuwa analima huko kwao? kwikwikwi
 
Duh yani shambani na mkeka na door-mat, huyu ndo mtoto wa mkulima, ndo babake alivyokuwa analima huko kwao? kwikwikwi

huyu mama hapa pembeni yake kanifurahisha sana...amemaanisha anachokofanya.....Mtoto wa mkulima hata udongo hajashika!!
 
View attachment 50779

Hapa yupo na Mzungu....... kisa mzungu hakutaka kukanyaga kanga wala mkeka........


View attachment 50780

Hapa Akiwa na Wamatumbwi....atadai mkeka...kanga...nk eti asichafuke....usanii mtupu!!

Ushamba au Ulimbukeni? hapo nyuma kuna watoto, unafikiri anawajengea picha gani kichwani kuhusu kilimo? Na kuna kitoto kimebebeshwa sabuni kwa umaridadi kweli kweli. Mnafiki sana huyu mzee ndio maana mwili wake hauna shukrani, hang'ai wala hashine
 
viongozi ewzi hadi mdomoni. wapi mtoto wa mkulima akienda shamba hutandikiwa mkeka?
 


Duh jamaa kanikumbusha suruali za mchelemchele za 1980s



Duh! Mzee kumbe ulikuwepo?! Vp unazikumbuka na zile suruali za savco na kadeti za maiko jakson na raba za edwin na dh (dada hujambo) na viatu vya chachacha???!!!
Enzi hizo ukivaa mchelemchele basi wee ni matawi ya juu!! Si mchezo!!, tumetoka mbali mkuu!
 
Usishangae, mambo ya siasa ndivyo yalivyo.....leo uko hivi....kesho hivi.....ukigeugeu
 
Kwenye suti ndio ingetakiwa awekewe mkeka na hiyo ya T shirt apige kavu kavu.
Lakini yeye kafanya vise versa.
 
Mi naona kama shughuli 2 tofauti hapa, ambazo hata maandalizi yake yalikuwa tofauti. hizo kanga na mikeka unayosema haikuandaliwa na mtu unayemtuhumu hapa ila watu wengine tofauti. so lawama ni kwa wandaaji ndugu, ambao mara kibao ni mimi na wewe "labda". Mi nadhani kulinganisha kungenda sawa kama shughuli zingekuwa za kufanana i.e. kilimo cha busta kwa kilimo cha bustani or kupanda mti kwa kupanda mti. Even though, wandaaji wazingatiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom