mkuu si walifanya ukarabati juzi tu?Panton kubwa limechoka , anzia sakafu ya chini kwenye mlango. Engine zake ndio usiseme.
Sijaelewa dukuduku lako hasa ni lipi? Kutembea dakika 50 au kuiba mafuta? inamaanisha wakiwasha engine zote nne na kutembea dakika 25 ndio mafuta hayaibwi? Watanzania tuache kuongea ongea bila ushahidi,ulijaribu kuwauliza kwanini inatembea engine mbili? Report ya uwekaji mafuta na utumiaji wa mafuta ulionyeshwa na ukajiridhisha kwamba mafuta yanaibiwa?
mkuu si walifanya ukarabati juzi tu?
mkuu si walifanya ukarabati juzi tu?
........tumezoea kuishi kwa shida. Hata siku moja hatujitahidi tuishi kwa raha. Tuna laana fulani hivi !Yani sisi waafrika weusi.
Hata kama yanakidhi idadi mkuu yamefungwa na kufuli na funguo zinabaki ofisin na ni chuma tupu unategemea tutatoka ikitokea bahat mbaya
Suluhisho ni dogo tu!! Ferry ya kuvuka inahitaji kubinafsisha sector hiyo !! Waje wawekezaji kadri ya kukidhi haja ya wasafiri...
yaani wasafiri 1000 kwa pantoni 5 hadi 10 zichuana hapo !! na kila idadi ikiongezeka pantoni ziongezwe !! Ndo tutaendelea, Kwani mteja (msafiri) ni mfalme, Na ni haki yake kusave time yake " time is money "
The Fixer Barasu KATIBUA The Boss
Umenikumbusha kauli ya profesa mmoja hivi juu ya uwekezaji!
Duuh... nimezimia !! nilipozinduka Nikapigwa na mduaoo!! nashukuru sijafaa!!Tatizo watataka 10% yao.
Kuna sehemu jamaa amejenga hoteli ya kitalii. Barabara inayokwenda huko ilipo hoteli yake imeharibika sana. Jamaa alikuwa teyari kuijenga kwa gharama zake na kuisimamia. TANROAD walimwambia haruhusiwi kuisimamia yeye bali anatakiwa aipe hiyo pesa TANROAD ili waijenge. Makadirio aliyopewa na TANROAD yalikuwa makubwa sana kuliko aliyopewa na kampuni ya ujenzi. Pia aliambia alipie ada fulani ya ujenzi ambayo nayo ni kubwa. Jamaa aliamua kuachana na ujenzi huo wa kujitolea kwani ingekuwa ni hasara kubwa.