Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,895
Ccm chama cha kinafiki na wanafiki wote wamejaa huko........hakuna mwenye uchungu na nchi hii kutoka ccm...........wote ni walewale hata aje nani...........wote ni chukua chako mapema (ccm)
kwanza Mtu kama Sendeka ni anafanya unafiki wa hali ya juu! Yeye na mamvi ni ngome mbili tofauti