GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,177
"Ni kweli tuna Mechi ngumu na muhimu dhidi ya Algeria ila tumeamua kutotangaza Maandalizi yake ili kutowapa Presha Wachezaji kutoka kwa Mashabiki na Wanamichezo. Pia nichukue nafasi hii kuwataka Watanzania wenye kujua waliko Waganga wa Kienyeji wazuri wakawaambie watusaidie ili Taifa Stars (Tanzania) ishinde na ifuzu kucheza AFCON"
Amesema Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezoni Khamis Mwinjuma (alias) Mwana FA muda mfupi alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa Clouds FM katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra hivi punde.
Halafu GENTAMYCINE akiwa Kutwa anawaambia kuwa hamna Akili mnanuna na Kunichukia.
Yaani sijawahi kuona Rais wa Tanzania mwenye bahati mbaya ya Kutuchagulia bogus Government Officials (hasa Mawaziri na Manaibu wao) kama Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ya Awamu ya Sita.
Hovyo kabisa!
Amesema Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezoni Khamis Mwinjuma (alias) Mwana FA muda mfupi alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa Clouds FM katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra hivi punde.
Halafu GENTAMYCINE akiwa Kutwa anawaambia kuwa hamna Akili mnanuna na Kunichukia.
Yaani sijawahi kuona Rais wa Tanzania mwenye bahati mbaya ya Kutuchagulia bogus Government Officials (hasa Mawaziri na Manaibu wao) kama Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ya Awamu ya Sita.
Hovyo kabisa!