BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Wanajamvi naomba niilite hili jambo mbele yenu.!
Leo hii nimepotelewa na simu yangu mtandao wa TIGO na nimesajili namba yangu, nikaomba simu ya mtu ili nipige CUstomer Service wa block line yangu ili namba yangu isitumike kwa matumizi mabaya, nikapiga simu namba 100 nikasikiliza maelezo baada ya hapo unaambiwa upige simu namba 15301 ili uweze kuongea na mhudumu wa TIGO lakini wakaweka angalizo kuwa kila dakika unatozwa shilingi 100. Nikapiga hiyo namba nikapokelewa kwa mapozi mengi na mkaka nikamweleza shida yangu kuwa nimepotelewa na simu yangu naomba ----- ni ifunge ili isitumike vibaya jibu nililopewa ni hivi:- TIGO HAINA HUDUMA YA KUFUNGA LINE YAKO HATA KAMA UMEIBIWA SASA HIVI CHAKUFANYA TAFUTA OFISI ZETU POPOTE ULIPO UKAOMBE PALE WATAKUFUNGIA NA KAMA UNATAKA KUISWAP HIYO NAMBA YAKO INABILI UTAJA WALAO NAMBA 5 UNAZOZIPIGA MARAKWAMARA HALAFU UWATAJIE KIWANGO CHA VOCHA ULICHOWEKA MARA YAMWISHO NIKAMU.
Nikamwambia huyo kaka hii simu imeibiwa asubui hii na hapa nilipo siwezi toka kuja kuifunga ofisini kwenu kwani ninamikutano ya kuhudhuria maana namba nimeisajili ss ugumu ukowapi akanijibu kama unaingia mkutanoni basi tuma mtu aje na Kitambulisho na hizo details zako then atashughulikiwa.
1. Swali langu ni Je! Mbona mitandao mingine ukipotelewa simu ukipiga customer service wahfunga line yako ili isiweze kutumika tena hadi utakapoenda kuomba upya.
2. TIGO wanawezaje kumwamini mtu aende kufunga line ambayo sio yake?? kisa anakwenda na kitambulisho na tena ieleweke kitambulisho kinachotumika sio cha mwenye simu na cha huyo anaekwenda kufunga hiyo namba
3. Nini maana ya HUDUMA KWA WATEJA?
Leo hii nimepotelewa na simu yangu mtandao wa TIGO na nimesajili namba yangu, nikaomba simu ya mtu ili nipige CUstomer Service wa block line yangu ili namba yangu isitumike kwa matumizi mabaya, nikapiga simu namba 100 nikasikiliza maelezo baada ya hapo unaambiwa upige simu namba 15301 ili uweze kuongea na mhudumu wa TIGO lakini wakaweka angalizo kuwa kila dakika unatozwa shilingi 100. Nikapiga hiyo namba nikapokelewa kwa mapozi mengi na mkaka nikamweleza shida yangu kuwa nimepotelewa na simu yangu naomba ----- ni ifunge ili isitumike vibaya jibu nililopewa ni hivi:- TIGO HAINA HUDUMA YA KUFUNGA LINE YAKO HATA KAMA UMEIBIWA SASA HIVI CHAKUFANYA TAFUTA OFISI ZETU POPOTE ULIPO UKAOMBE PALE WATAKUFUNGIA NA KAMA UNATAKA KUISWAP HIYO NAMBA YAKO INABILI UTAJA WALAO NAMBA 5 UNAZOZIPIGA MARAKWAMARA HALAFU UWATAJIE KIWANGO CHA VOCHA ULICHOWEKA MARA YAMWISHO NIKAMU.
Nikamwambia huyo kaka hii simu imeibiwa asubui hii na hapa nilipo siwezi toka kuja kuifunga ofisini kwenu kwani ninamikutano ya kuhudhuria maana namba nimeisajili ss ugumu ukowapi akanijibu kama unaingia mkutanoni basi tuma mtu aje na Kitambulisho na hizo details zako then atashughulikiwa.
1. Swali langu ni Je! Mbona mitandao mingine ukipotelewa simu ukipiga customer service wahfunga line yako ili isiweze kutumika tena hadi utakapoenda kuomba upya.
2. TIGO wanawezaje kumwamini mtu aende kufunga line ambayo sio yake?? kisa anakwenda na kitambulisho na tena ieleweke kitambulisho kinachotumika sio cha mwenye simu na cha huyo anaekwenda kufunga hiyo namba
3. Nini maana ya HUDUMA KWA WATEJA?