Wana JF, naomba mnielekeze namna ya kujua tarehe (makisio)ya mwanamke kujifungua. mfano. mara ya mwisho aliona siku zake tarehe 20 januari 2010. nitawezaje kukisia?
kama mwanamke tareh ya mwisho kuingia period ilikuwa 9/6/2016 je matarajio ya kujifungua itakuwa lin?kuna kitu kinaitwa EDC(Expected Date of Confinement) amabayo huw inakuwa -calculated as:
EDC=20 (+ 7DAYS) januari (+ 9 MONTS) 2010 =27TH OCTOBER 2011
hIVYO BASI Mhusika atakuwa tayari kujifungua by this time the following year
27TH OCTOBER 2011
kama mwanamke tareh ya mwisho kuingia period ilikuwa 9/6/2016 je matarajio ya kujifungua itakuwa lin?
Najua kuwa suluhisho kumpeleke hospital but kuuliza humu ntaka kujua ,ila kama wew huna utaalamu kaa kimya tuwasubir watakao jibuMpeleke hsptl akapime mimba halaf dr atakupa majibu
Mkuu hii mimba itakuwa NA mwaka mmoja NA miez Tisa sasa.kuna kitu kinaitwa EDC(Expected Date of Confinement) amabayo huw inakuwa -calculated as:
EDC=20 (+ 7DAYS) januari (+ 9 MONTS) 2010 =27TH OCTOBER 2011
hIVYO BASI Mhusika atakuwa tayari kujifungua by this time the following year
27TH OCTOBER 2011
Usijar mkuu iko HIV; hii ni formulae, kwenye tar yyte siku zote tunaongeza saba(+7) ....kwenye mwezi ikiwa mwez wa 1,2,3 tunaongeza Tisa kwenye mwez(+9) NA ikiwa 4,5,6,7,8,9,10,11,12 tunapunguza 3(-3) kwenye mwezi kisha kwenye mwaka tunajumlisha moja...yaan kama ilikuwa 2010 basi ukiongeza moja inakuwa 2011....mfano huo wako LNMP ni 9/6/2016 hivyo EDD itakuwa 9+7=16(Date) .....6-3=3 month.....2016+1=2017 yr....so Expected Date of Delivery will be 16/3/2017Najua kuwa suluhisho kumpeleke hospital but kuuliza humu ntaka kujua ,ila kama wew huna utaalamu kaa kimya tuwasubir watakao jibu
kama mwanamke tareh ya mwisho kuingia period ilikuwa 9/6/2016 je matarajio ya kujifungua itakuwa lin?