AlWatan Nyuki
New Member
- Jan 10, 2012
- 4
- 10
How Tanzanians request songs on radio-
Kuswahilisha kila jambo (eti ya kweli hayo?)
Samahani naomba kuagiza nyimbo zifuatazo:
1.Duka la pipi-senti hamsini (yaani candy shop ya 50cents)
2.Mnunuzi wa kioo-senti hamsini (yaani window shopper ya 50cents)
3.Chini ya mwavuli wangu-rihana (under my umbrella)
4.Jumba la wahuni-tupaki shakuri (thug mansion-Tupac Shakur)
5.Egemea nyuma-joe mnono (lean back-fat joe)
6.Dunia mzunguko-richie viungo (world is a cycle-Richie Spice)
7.Fagia- ndovu mwanamme (sweep-Elephant man)
8.Niko na hisia-pisi jicho nyeusi (i have feelings-black eyed peas)
9.Inama inama ya Ara dii Eksi (bendova bendova-RDX)
Mwisho ningependa unichezee wimbo wowote wa Snupu Kijibwa(snoop dogg). DUH!