SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Mkuu uwe unafanyaga samari wengine muda hatuna kabisa wa kupitia atikal yote
Mku Ukifanya summary ya hiyo article basi you must be retarded!!
Sikulazimishi lakini Ukipata muda, take your time, tulia na soma and then utajua what's going on with the so called "Chinese Investors" ambao tunawaabudu kumbe wanaifanya Tanzania/Africa na watu wake mambumbumbu!!
Ni kweli it's a long article, but worth reading