How can you let it go?

Aliyekuwa boyfriend kaoa tokea January this year, lakini nimeshindwa kuabsorb hii hali, mbaya zaidi tunaishi mji mmoja so mara nyingi namuona. Wadau kama ilishawahi kukutokea, ulichukua hatua gani kuiona ni ya kawaida. Najua maisha lazima yaendelee lakini duh, roho inauma jamani, the thing is haunting me badly.

mlikuwa mmeishaachana au ulishtuka anaoa na alikuwa hajakwambia kuwa ana mtu mwingine wa kumuoa?
 
Pole mpenzi, mim pia nateswa na ki2 kama hicho huu ni mwez wa3 sasa ila najitahidi na nahisi am about to move on, jitahid kuwa busy na mambo yako,jichanganye na friends ambao hawamjui wala hawajui story yako na yeye I mean ambao hawataweza kumuulizia,unapohisi upweke usiwaze sana kuwa angekuwepo usingekuwa hivyo ila sikiza nyimbo za watu waliokubari matokeo,letting go,movin on,don't want u back na vi2 kama hivyo utazoea na badae utaona ulichelewa kuchukua uamuzi wa akil
 
Back
Top Bottom