hahahahah hilo sikio duuhhh
nalione huruma kwa kweli..
na hiyo rubber band haikatii mishipa ya damu kweli ??
dahhhh yaelekea kwenye idara ya vyakula upo mami safi...
mi ukinipeleka huko morroco au Turki napenda kababs .
sababu usema ukweli sija experience kupika vyakula vyao sana
bali kula hotelini hapa na pale tu...napenda tacos (Mexico) quick fix ..
itabidi unipe shule kidoncho hahah lol
Mie kula out ndo moja ya staarehe zangu. Karibu nitaenda bankrupt! lolz
Ila vya Ki-Morocco sio vigumu kupima ukisha kuwa na lile sijui sufuria sijui chungu chao.
View attachment 40490
Kila kitu unakijaza chunguni, unapika dakika 5 unaacha kijipike.....Burdaaan
Sikio lishazoea ila huwa linabadilishwa kila mara
rubber band huwa inalegezwa kiaina ili isimumize kichwa au mishipa ya uso
Sometime ukitaka mambo yawe mazuri uumie kidogo
bado niko kwenye research kutafuta njia nzuri zaidi za kuishikilia simu
sasa wewe umependeza hivo dahhh
mi siendi swimming na wewe..
we upige bikini, mi ni vae huu
mjinsi wangu na jacketi kwenye beach..
haikubaliki hahah lol
hahahahahahahahah lol
nimecheka jamaniii dahhhh..
nimekosa cha kusema kwa sasa daaa...
hahahahah bora hata wewe unaenda kukaa hotelini unakula..
Hotelini mi mara chache...
ila na tabia mbaya sana ya ku "drive thru"
hicho chungu ndo kiko kama slow cooker au??
Enhee kaa slow cooker ila humo hutii maji (au kidogo sana) coz mvuke unarudi humo humo ndani.
bora hiyo yako, hii ya kwenda restaurant kila siku unaweza kufilisika kweli!
dahhhh utanifanya niote
angelic tena sante my dear ..
good to see you..
Hujambo lakini??
uote tena?why?
karibu sana....hivi unajua wewe ni mmoja wa watu
ambao always 'yuko na positive energy' humu?????/
mtu ukiwa down. ni bora awe karibu na wewe...
ata recover faster.....i mean it...
Afro D, hebu tuombe tenda ya kupika soro la Boss kwenye mnuso wake ulotangazwa hadharani :]]
Boss vipi usituangushe
mmhh ntaota sababu imetoka kwako .. lol
wao ulichosema hapo juu nimeweka moyoni
sante sana..."Karibu baadaye kule"....
Afro D, hebu tuombe tenda ya kupika soro la Boss kwenye mnuso wake ulotangazwa hadharani :]]
Boss vipi usituangushe
yaani wewe.....utakuja haribu mambo lol
labda 'idadi ya bi harusi nataka iongezeke'lol