Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,715
- 12,799
Tatizo lipo tena kubwa ndio maana inaitwa ONE MAN SHOWJamani Mimi naomba kuelewesha hasa na wanaomezeshwa hotuba pasipo kutafuna, hivi hii ni Serikali ya JPM au ni Uongozi wa JPM
Sababu Mara nyingi namsikia akisema serikali "yangu"
Hivi hakuna tatizo hapo ?
Kweli yeye anamiliki serikali ?