Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Found this on Zitto's blog; and thought I would share with JF members!!
Hii ni kazi nzuri sana kwa wote waliofanikisha uanzishwaji wa jukwaa hilo; kwani ni kweli kumekua na gap kati ya viongozi wa serikali kuu na serikali za mitaa linapokuja suala la kushirikiana katika kuongoza na kuchochea maendeleo ya jamii husika.
Wasiwasi wangu ni kwamba, kwa jinsi viongozi wa ngazi za mitaa walivyozoea posho za vikao, naanza kuona giza mbeleni. I hope Zitto has an answer to this...
Cheers!!
Hii ni kazi nzuri sana kwa wote waliofanikisha uanzishwaji wa jukwaa hilo; kwani ni kweli kumekua na gap kati ya viongozi wa serikali kuu na serikali za mitaa linapokuja suala la kushirikiana katika kuongoza na kuchochea maendeleo ya jamii husika.
Wasiwasi wangu ni kwamba, kwa jinsi viongozi wa ngazi za mitaa walivyozoea posho za vikao, naanza kuona giza mbeleni. I hope Zitto has an answer to this...
Cheers!!