tatizo rais aliwashauri watu wasiohitaji katiba bali serikali tatukifungu hiki kimeniacha hoi!! Hivi kweli hajui kama ushauri wake huu ndio umeharibu bunge la katiba na kulivuruga? Au anafanya mzaha huyu jamaa?
tatizo rais aliwashauri watu wasiohitaji katiba bali serikali tatukifungu hiki kimeniacha hoi!! Hivi kweli hajui kama ushauri wake huu ndio umeharibu bunge la katiba na kulivuruga? Au anafanya mzaha huyu jamaa?
waliompa tuzo rais bora watakushangaa wakikusikia na.kingereza chako cha masomo ya ziada(tuition)
Mr. Hayanihusu huyu
Kifungu hiki kimeniacha hoi!! Hivi kweli hajui kama ushauri wake huu ndio umeharibu Bunge la Katiba na kulivuruga? au anafanya mzaha huyu jamaa?
hahahahaa rais bora kwa nani? Kijigazeti cha kule marekani!! Maajabu haya.
kama ni maoni binafsi ukawa wanaweweseka nini?maoni yake binafsi hakupaswa kuyatoa kwenye jukwaa rasmi la mkuu wa nchi kuzindua bunge. Isitoshe, maoni yake si tayari alishatoa kwenye chama chake?
najuta kuwa na rais kama huyu
majuha tu ukawa, kule kumejaa waiba wake za watu, mashoja na masela wasiotaka kuoa bila kusahau wasaliti wa ndoa zaonitashangaa sana siku nikiona upinzani unaacha kupinga. Wana kazi ipi zaidi ya kupinga?
alionesha seriousness alipowakaribisha ukawa ikulu kupiga juicesiwezi kukumbuka pahala po pote ambapo mhe dr. Rais jakaya kikwete amaeishawahi kuonesha seriousness katika maana hali ya neno 'serious'! Ni mtu wa mizaha tu!!! My first reaction moyoni mwangu kwa hotuba yake ya ufunguzi wa bmk ilikuwa ni kwamba tanzania inahitaji mujiza litokee jopo la wise men and women kufungua kesi mahakama kuu ya kusimamaisha mchakato wa katiba mpya. Wiki chache baadaye nilifarijika sana nilipoona wise men na women wamejitokeza kwa njia ya ukawa. Huyu bwana anatania.
wewe utakuwa ccmb( cdm, cuf, nccr)mm ccm ila rais kwa hili unastahiki lawama sana, kwani ulipokutana na tume huko kabla ya rasmi kuisaini hawakukupa mda wa kutoa maoni yako ?
Ni jambo la kusikitisha. Halafu anajikanganya sana.Mwana Mpotevu,
..naona Raisi akaamua kufumba macho na kuziba masikio.
..hivi tuseme Raisi ameridhika na mwenendo wa wana CCM ndani ya bunge maalum la Katiba?
Kifungu hiki kimeniacha hoi!! Hivi kweli hajui kama ushauri wake huu ndio umeharibu Bunge la Katiba na kulivuruga? au anafanya mzaha huyu jamaa?
kwani unadhani hata asingetoa maoni yake ccm wangeuka mkono serikali tatu?.maoni yake binafsi hakupaswa kuyatoa kwenye jukwaa rasmi la mkuu wa nchi kuzindua bunge. isitoshe, maoni yake si tayari alishatoa kwenye chama chake?