Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Zingatia hapo nilipoweka red. Ni kweli kabisa wanasiasa wanawaona ninyi ni mabongolala ndo wanawadanganya ili mgome, ndugu zenu wafe, na wao wakiugua wanapelekwa nje. Kama kweli mna uzalendo na mnagoma ili haki itendeke, basi mngehamasisha mgomo kwa wafanyakazi wa sekta zoote nchi, hapo ujumbe ungefika kwa sababu serikali isingeweza kureplace wafanyakazi wa sekta zote nchini. Lakini kwa sababu ya ulafi wa wachache wanaodai haki yao wenyewe hamtafanikiwa ng'o! Take my word.

Hakuna hata moja la kuchukuwa hapo, ninachoshukuru ni kwamba at last umenielewa, na umerespond kuwa nilisema kuwa umefika wakati sasa watu wote tusimame tuseme hapana, siyo kada moja tu, asante kwa kunielewa, ujumbe umekuingia uzuri.
Nimegundua kumbe we ni mzima tu ila ulikuwa unajifanya chizi makusudi nami kwa kuwa niko makini nimebaini hilo.
 
Binafsi nilielewa vizuri mno kauli ya KIKWETE, hata kama ilikuwa na mapungufu lakini my take ni kuwa that was an official statement ya serikali, nanukuu..
"KWA SASA HATUWEZI KUWAAHIDI KUWA TUNAO UWEZO WA KUWALIPA MSHAHARA WA KUANZIA WA TSH 3,500,000/= NA POSHO ZOTE ZILE. TUKIFANYA HIVYO MALIPO YA DAKTARI ANAYEANZA KAZI LEO ATALIPWA JUMLA YA TSH 7,700,000/= KWA HAKIKA KIASI HICHO HATUKIWEZI."

Naendelea kunukuu..
"KAMA KUNA DAKTARI ANAYEONA KUWA HAWEZI KUFANYA KAZI SERIKALINI BILA KULIPWA MSHAHARA HUO AWE HURU KUACHA KAZI NA KWENDA KWA MUAJIRI ANAYEWEZA KUMLIPA KIASI HICHO. NASI TUNAMTAKIA KILA LA HERI. HANA SABABU YA KUGOMA ILI ASHINIKIZE KULIPWA MSHAHARA HUO. ASISUMBUKE, HATALIPWA MSHAHARA HUO."

Sasa basi, nilitegemea biashara ya mgomo ingeishia hapo ila tusikie tu kuwa madaktari kadhaa wameacha kazi (tena hata ikiwa kimya kimya ni sawa tu) au tusikie wamebaki madaktari wawili tu. Kwakweli sikutegemea kusikia tena kundi lingine la madaktari limeungana na wengine kugoma... nilidhani wangesema wameacha kazi.

Tumechoshwa sana na hizi vurugu-- ukiangalia gazeti... Mgomo wa madaktari! Ukifungua Luninga... Mgomo wa madaktari! Ukifungua JF... Mgomo wa madaktari! Ukienda mitandao mingine... Mgomo wa madaktari! Ukiwa mtaani... Mgomo wa madaktari!
 
Ulitaka wagome mawaziri!! Kutokwenda kazini means umeacha kazi so y shuld they bother? Walete hao wataalam wao kutoka nje.
 
wewe ulifikiria kua hawajui..mkuu mbona unachekesha mkuu..sasa ulitaka tufanyaje??
 
Binafsi nilielewa vizuri mno kauli ya KIKWETE, hata kama ilikuwa na mapungufu lakini my take ni kuwa that was an official statement ya serikali, nanukuu..
"KWA SASA HATUWEZI KUWAAHIDI KUWA TUNAO UWEZO WA KUWALIPA MSHAHARA WA KUANZIA WA TSH 3,500,000/= NA POSHO ZOTE ZILE. TUKIFANYA HIVYO MALIPO YA DAKTARI ANAYEANZA KAZI LEO ATALIPWA JUMLA YA TSH 7,700,000/= KWA HAKIKA KIASI HICHO HATUKIWEZI."

Naendelea kunukuu..
"KAMA KUNA DAKTARI ANAYEONA KUWA HAWEZI KUFANYA KAZI SERIKALINI BILA KULIPWA MSHAHARA HUO AWE HURU KUACHA KAZI NA KWENDA KWA MUAJIRI ANAYEWEZA KUMLIPA KIASI HICHO. NASI TUNAMTAKIA KILA LA HERI. HANA SABABU YA KUGOMA ILI ASHINIKIZE KULIPWA MSHAHARA HUO. ASISUMBUKE, HATALIPWA MSHAHARA HUO."

Sasa basi, nilitegemea biashara ya mgomo ingeishia hapo ila tusikie tu kuwa madaktari kadhaa wameacha kazi (tena hata ikiwa kimya kimya ni sawa tu) au tusikie wamebaki madaktari wawili tu. Kwakweli sikutegemea kusikia tena kundi lingine la madaktari limeungana na wengine kugoma... nilidhani wangesema wameacha kazi.

Tumechoshwa sana na hizi vurugu-- ukiangalia gazeti... Mgomo wa madaktari! Ukifungua Luninga... Mgomo wa madaktari! Ukifungua JF... Mgomo wa madaktari! Ukienda mitandao mingine... Mgomo wa madaktari! Ukiwa mtaani... Mgomo wa madaktari!

Suala la ajira ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Kama wewe mwejiri (Serikali) umemkataza mwajiriwa wako (daktari) asigome. Na yeye akaendelea kugoma na kutofanya kazi, kwa nini wewe kama mwajiri usifanye maamuzi???? Namkumbuka Lowassa aliposema Serikali hii haichukui maamuzi, nadhani kwa sababu wa udhaifu uliopo.
 
gharama amabzo zimetumika au zitatumika katika kumtibu ulimboka ni zaidi ya Milion 70 kwa hesabu za haraka haraka.ukifanya hesabu utagundua kituo kimoja cha afya kinapata mgawo wa dawa kutoka MSD kwa mwaka ambazo hazizidi milioni 60.hivyo basi hela inayotumika kwa ajili ya matibabu ya mtu mmoja zingelitosha kwa kutibu kata kama mbili vile hivyo kwaa hesabu ya haraka waliompiga ulimboka walidhani wanatatua tatizo kumbe ndo wanaanza kutengeneza tatizo jingine.
 
Yan kasema ina wezekana watu serikalini wana husika lakini yeye hajamtuma mtu na wala hana sababu.

Pamoja na kusema hayo ana kana serikali kuhusika, hapa nilishindwa kuelewa kwa nini ana jichanganya kiasi hiki.

Pengine ange unda tume huru kufanya uchunguzi kidogo tunge muelewa, lakini kwa maneno hayo kikwete ana wasiwasi na watu wanao mzunguka.

Serikali kwa swala la ulimboka hawana pakupitia.
 
Back
Top Bottom