ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,104
- 2,971
kikwete hata udiwani wa chalinze asingepata angegongea sasa,kachemsha miaka 10mark time atatuambia nini?
Mmezidi kilalamika sana wanachi kila analofanya rais wenu si jema,mnasifia vya nje tu angeongea paul kagame wa rwanda msinge lalamika,mngeona ameongea point,tumeshafanya maamuzi kesho ni magufuli tu mmezidi na propaganda
Kikwete ametupa sababu ya kwa nini tukamkate lowassa kesho
Kikwete amehitimisha kampeni za CCM mkoani Mwanza na kutoa hotuba ambayo huenda ikawa imeharibu taswira nzima ya ufungaji wa kampeni za Magufuli, kwa sababu imekosa HEKIMA, USTAARABU, UKWhELI na UKOMAVU.
Katika mazingira ya ushindani wa kisiasa uliokuwepo kwenye uchaguzi huu, kila kura ina thamani kubwa sana kwa sababu inaweza kuamua mshindi. Katika hatua hii ya mwisho kura pekee zinazotafutwa ni za watu ambao hawajaamua, na hili ni kundi la JAMII.
Sitaki kuamini kama kundi hili la jamii linaweza kuvutiwa na kuichagua CCM kwa hotuba ya MIZAHA namna hiyo.
Kwa ufupi kabisa, hotuba hiyo ya Kikwete ilijaa
1/Mipasho na vijembe dhidi ya Lowassa na UKAWA.
2/Sifa za kijinga kwa Magufuli na CCM.
3/Majigambo ya yeye kukaa madarakani.
4/Kejeli na dhihaka juu ya Afya ya Lowassa.
5/Kurusha mpira wa kashfa ya Richmond.
Kikwete amehitimisha kampeni za CCM mkoani Mwanza na kutoa hotuba ambayo huenda ikawa imeharibu taswira nzima ya ufungaji wa kampeni za Magufuli, kwa sababu imekosa HEKIMA, USTAARABU, UKWhELI na UKOMAVU.
Katika mazingira ya ushindani wa kisiasa uliokuwepo kwenye uchaguzi huu, kila kura ina thamani kubwa sana kwa sababu inaweza kuamua mshindi. Katika hatua hii ya mwisho kura pekee zinazotafutwa ni za watu ambao hawajaamua, na hili ni kundi la JAMII.
Sitaki kuamini kama kundi hili la jamii linaweza kuvutiwa na kuichagua CCM kwa hotuba ya MIZAHA namna hiyo.
Kwa ufupi kabisa, hotuba hiyo ya Kikwete ilijaa
1/Mipasho na vijembe dhidi ya Lowassa na UKAWA.
2/Sifa za kijinga kwa Magufuli na CCM.
3/Majigambo ya yeye kukaa madarakani.
4/Kejeli na dhihaka juu ya Afya ya Lowassa.
5/Kurusha mpira wa kashfa ya Richmond.
Mungu kawanyima maarifa ili mnara wa Babeli usambaratike hivyo usishangae.
hapa ni lowassa tu.
hila aliyoifanya Kikwete imaimaliza kabisa ccm, Pombe itabidi umlaumu Kikwete kwa kukuaribia dakika za mwisho hasa alipomkejeli Lowasa kwa Afya yake akajisahau kama na yeye ni mgojwa wa tezi dume
Hats ikitokea wamejipa ushindi ,naamini Kikwete atafunuliwa nje ndani na wabunge mahiri was UKAWA
Mkuu tumesikia mbinu zao zote pale jangwani.....akiongalia hotuba za viongozi wa UKAWA atakimbia nchi.....tutapiga kura na kulinda kura maana nyumba zetu zipo ndani ya mita 200.
Kikwete kashindwa nchi miaka kumi anamsifia magufuli that hopless guy.Serikali ijayo kama huyu magufuli wake atashinda itakuwa worse
Ilitaka kuhutubia ww? Mbona hujawahi kumsaidia Lowasa kuhutubia?
Jakaya kazidi kumwaribia Magufuli..... Lowassa kamaliza kampeni vizuri sana, na kwa hakika Lowassa anapata kura yangu na familia yangu
Lowasa mbele kwa mbele
Anajisifu amejenga barabara,wakati wahsani ndio wamejenga.kinachoondoka ni kikubwa kuliko kinachoingia
lowasa kamaliza kampeni zake vizuri kwa kuwaambia anawapenda wana dar? hiki ni kichekesho. hamjiulizi hata kwa nini hakuwepo jukwaani kuanzia mwanzo wa kampeni na amekuja dakika za mwisho na kuongea dkk 2 tu kwa kuwaambia anawapenda? kwani hapa tunahitaji mapenzi au kiongozi wa kututumikia?Watanzania mlikosa rais
Sehemu aliyoharibu ni kumwambia Magufuli amkumbuke Dialo kwa kazi aloifanya kwa kupitia startv. Mambo ya kujuana na kulipana fadhila anataka yaendelee.
Aliekuambia kuwa Lowasa kaongea dakika 2 ni nani? achana na mihemkolowasa kamaliza kampeni zake vizuri kwa kuwaambia anawapenda wana dar? hiki ni kichekekesho. hamjiulizi hata kwa nini hakuwepo jukwaani kuanzia mwanzo wa kampeni na amekuja dakika za mwisho na kuongea dkk 2 tu kwa kuwaambia anawapenda? kwani hapo tunahitaji mapenzi na kiongozi wa kututumikia?
hivi akili zenu mmezipeleka wapi? hamfikiriii?
naamini kabisa watanzania wenye mema na nch hii watatupatia kiongozi bora.
Between MAGUFULI ndo rais wenu ajaye. itabidi mvumilie tu hata kama itawauma.
Mmezidi kilalamika sana wanachi kila analofanya rais wenu si jema,mnasifia vya nje tu angeongea paul kagame wa rwanda msinge lalamika,mngeona ameongea point,tumeshafanya maamuzi kesho ni magufuli tu mmezidi na propaganda
Kikwete ametupa sababu ya kwa nini tukamkate lowassa kesho