snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Wachaga na Pesa..
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-
mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu
mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu
mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-
mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu
mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu
mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!