Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,928
Umuhimu wa sanamu ni upi? Hayo aliyoyafanya alifanya kwa hisani na kwa pesa zake ama yalikuwa majukumu yake ofisini kwa kutumia kodi zetu?Ulishawahi kuhoji matumizi ya ruzuku yangefanya nini kama kusingekuwa na ufisadi kwenye matumizi hayo?..
Sent using Jamii Forums mobile app