Elections 2010 Hooray...Arusha Imeshakombolewa!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,725
Wakuu, jana 27/10/2010, Kamanda Mbowe alikuwa Arusha, ambapo walifanya mkutano wa kampeni wa Historia hapa mjini, katika viwanja vya NMC!...Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini Bwana G.Lema alihutubia huku masaa yote akishangiliwa na umati ambao ulivunja rekodi hata ile ya Mkutano uliohutubiwa na Dr Rais Slaa mwenyewe.

Katika hatua ya kushangaza na kukubalika kwa CHADEMA mjini Arusha, nilifurahi kugonganisha macho na Ndugu Felix Mrema, Mbunge aliyetupwa kushoto katika kinyang'anyiro cha safari hii, na ambaye amekuwa Mbunge wsa CCM kwa vipindi kadha, akiwa kwenye gari la taasisi fulani, huku akicheka muda wote katika hali ya kufurahia jinsi wanaArusha watakavyofanya mageuzi ifikapo 31/10/2010, na kummwaga Batilda.

Arusha imekombolewa tayari!, tuangalie kwingineko, Kamanda NGONGO, kazia maarifa hapa.
UNGA LTD 008.jpg
Hapa ni baada yaMwenyekiti wa Mkoa wa Chadema kumkaribisha Kamanda Mbowe ahutubie.
UNGA LTD 007.jpg
WanaArusha wakisikiliza kwa makini hotuba ya G.Lema
UNGA LTD 002.jpg
Hapa wakishangilia
UNGA LTD 001.jpg
Eneo la NMC-Unga LTD ambako mkutano ulifanyika.
 
asaleeeee!!
kwa jinsi nisivyompenda huyo mama yaani nitafurahi sana wakimbwaga chini

muone na kitambaa chake kichwani!!
 
Kile kitambulisho chako cha kupigia kura kiweke karibu siku zimekwisha
baada ya mimi kumchagua DK SLAA,HALIMA MDEE,NA DIWANI WAO WA CHADEMA nitakuwa hapo JJ namshughulikia yule ''mdudu'' na grants kwa wingi sana:smile-big:

KARIBU SANA
 
Umeshaenda kukagua jina lako kwenye kituo ulichojiandikishia? Isije kuwa jina'ko limetupwa kata gani sijui huko ww huna habari ukaenda jibizana na wasimamizi siku ya siku jina lisipoonekana.
 
asaleeeee!!
kwa jinsi nisivyompenda huyo mama yaani nitafurahi sana wakimbwaga chini

muone na kitambaa chake kichwani!!
Mkuu, alishamwagwa huyu mama, uchaguzi kwa hapa Arusha ni kukamilisha Ratiba!...Sasa hivi kila msafara wa 'kulipwa' wa ccemu ukipita ni kuzomewa na kuonyeshwa alama ya antenna!
 
Jamani tusipokwenda kupiga kura tukategemea idadi ya mahudhurio tumekwisha.........Tanzania itakombolewa kama tukienda kupiga kura tu...........
 
Mkuu, alishamwagwa huyu mama, uchaguzi kwa hapa Arusha ni kukamilisha Ratiba!...Sasa hivi kila msafara wa 'kulipwa' wa ccemu ukipita ni kuzomewa na kuonyeshwa alama ya antenna!
aisee ninyi mmepinda inavyotakiwa haswaaaaa hahahaha hahahaa
 
Wakuu, jana 27/10/2010, Kamanda Mbowe alikuwa Arusha, ambapo walifanya mkutano wa kampeni wa Historia hapa mjini, katika viwanja vya NMC!...Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini Bwana G.Lema alihutubia huku masaa yote akishangiliwa na umati ambao ulivunja rekodi hata ile ya Mkutano uliohutubiwa na Dr Rais Slaa mwenyewe.

Katika hatua ya kushangaza na kukubalika kwa CHADEMA mjini Arusha, nilifurahi kugonganisha macho na Ndugu Felix Mrema, Mbunge aliyetupwa kushoto katika kinyang'anyiro cha safari hii, na ambaye amekuwa Mbunge wsa CCM kwa vipindi kadha, akiwa kwenye gari la taasisi fulani, huku akicheka muda wote katika hali ya kufurahia jinsi wanaArusha watakavyofanya mageuzi ifikapo 31/10/2010, na kummwaga Batilda.

Arusha imekombolewa tayari!, tuangalie kwingineko, Kamanda NGONGO, kazia maarifa hapa.
View attachment 15819
Hapa ni baada yaMwenyekiti wa Mkoa wa Chadema kumkaribisha Kamanda Mbowe ahutubie.
View attachment 15818
WanaArusha wakisikiliza kwa makini hotuba ya G.Lema
View attachment 15817
Hapa wakishangilia
View attachment 15816
Eneo la NMC-Unga LTD ambako mkutano ulifanyika.

Hii safi sana, kilichobaki na ambacho ni muhimu sana, ni kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi huo huo kwenda kupiga kura 31/10/2010.
Na kabla ya hapo, waanze kuhakiki majina yao katika vituo walivyojiandikisha, manake isije kutokea majina yao hayaonekani ama yamehamishiwa vituo vingine wakapata usumbufu ama kutopiga kura kabisa. Hii kitu imetokea jimbo la ukonga kata ya ukonga kuna wananchi takribani 2000 waliojiandikisha kituo kimoja kinaitwa kwa msambaa Mongolandege majina yao yamehamishiwa kituo cha ulongoni kilichopo kata ya gongolamboto. Kwahiyo zoezi la kuhakiki majina mapema ni la umuhimu wa kipekee.
 
Arusha na Kilimajaro wala thithiemu wasipoteze muda wajaribu lindi na Mtwara labda!
 
:rip:CCM, Kicheche Nakaaya kaingia choo cha KIUME, Safi CHADEMA tumechoka na safi PJ hapo Arusha nawaaminia.
 
Kamanda NGONGO, kazia maarifa hapa.

Mkuu umeniacha sina mbavu, hasa nikikumbuka tulikotokea na huyu Kamanda! toka kampeni zianze! hahah ahaha hahaha!!!!!!
 
Wakuu, jana 27/10/2010, Kamanda Mbowe alikuwa Arusha, ambapo walifanya mkutano wa kampeni wa Historia hapa mjini, katika viwanja vya NMC!...Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini Bwana G.Lema alihutubia huku masaa yote akishangiliwa na umati ambao ulivunja rekodi hata ile ya Mkutano uliohutubiwa na Dr Rais Slaa mwenyewe.

Katika hatua ya kushangaza na kukubalika kwa CHADEMA mjini Arusha, nilifurahi kugonganisha macho na Ndugu Felix Mrema, Mbunge aliyetupwa kushoto katika kinyang'anyiro cha safari hii, na ambaye amekuwa Mbunge wsa CCM kwa vipindi kadha, akiwa kwenye gari la taasisi fulani, huku akicheka muda wote katika hali ya kufurahia jinsi wanaArusha watakavyofanya mageuzi ifikapo 31/10/2010, na kummwaga Batilda.

Arusha imekombolewa tayari!, tuangalie kwingineko, Kamanda NGONGO, kazia maarifa hapa.
View attachment 15819
Hapa ni baada yaMwenyekiti wa Mkoa wa Chadema kumkaribisha Kamanda Mbowe ahutubie.
View attachment 15818
WanaArusha wakisikiliza kwa makini hotuba ya G.Lema
View attachment 15817
Hapa wakishangilia
View attachment 15816
Eneo la NMC-Unga LTD ambako mkutano ulifanyika.


Heshima kwako PakaJimmy,

Niko sana mkuu nilikuwepo kwenye mkutano nikawaida yangu kuhudhuria mikutano ya wagombea wote.Nimefurahia kauli yako kwamba Arusha imekombolewa ni jambo zuri ila usisahau mara zote historia ni mwalimu mzuri!.
 
Watanzania, kumbushia kwa sms kwa wale wote walioko kwenye address book yako kwenda kupiga kura- huge turnout italipa sana. Mungu atusaidie tuwe wavumilivu hata kama ni kushinda njaa lakini italipa the next day
 


Mkuu umeniacha sina mbavu, hasa nikikumbuka tulikotokea na huyu Kamanda! toka kampeni zianze! hahah ahaha hahaha!!!!!!

Heshima kwako Nyambala,

Nitaendela kuwepo hadi mwisho wa kampeni siunajua nina ulevi wa ajabu na JF
 
Chadema imeshakomboa mikoa minane ya bara ambayo ina wakazi wengi nchini. Tukiikomboa Dar na Tabora katika uchaguzi huu basi Rais Mtarajiwa hana mpinzani labda waibe kura kwa kishindo.
 
Back
Top Bottom