Hongereni sana wafanyakazi wa NMB,kwa ushindi mlio upata.Hata hivyo kumbukeni yafuatayo:
*Migomo kama ya NMB,haiumizi serikali isipokuwa wafanyakazi wengine
serikalini na wananchi wa kawaida ambao ni wadau wenu katika
'struggle.'
*Migomo kama yenu inaathiri uchumi wa nchi kwa kiwango kikubwa,
kwa hiyo ni vema ikafanywa tu kama silaha ya mwisho.
*Hakikisheni kwamba chama chenu yaani TUICO, kinafuata
sheria zote kabla ya kuitisha mgomo ili kuepuka usumbufu usio kuwa wa lazima.
*Migomo kama ya NMB,haiumizi serikali isipokuwa wafanyakazi wengine
serikalini na wananchi wa kawaida ambao ni wadau wenu katika
'struggle.'
*Migomo kama yenu inaathiri uchumi wa nchi kwa kiwango kikubwa,
kwa hiyo ni vema ikafanywa tu kama silaha ya mwisho.
*Hakikisheni kwamba chama chenu yaani TUICO, kinafuata
sheria zote kabla ya kuitisha mgomo ili kuepuka usumbufu usio kuwa wa lazima.