Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Mama ni rafiki wa kweli pale tunapopata majaribu na shida za dunia hii zinapotuelemea na kukosa mwongozo. Wakati maovu yanapochukua nafasi ya mafanikio; wakati wa shida ambapo marafiki tuliowaamini wametukimbia; wakati dhiki zimetuzunguka kila pande, lakini mama yuko pamoja nasi, kurudisha matumaini yaliyopotea, kutuvuta toka bondeni tulipozama, kutupa ushauri wa nini la kufanya, na kuondoa giza lililotuzunguka, kurudisha amani katika mioyo yetu na maisha yetu.
Nawapongeza kinamama wote wa JF kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuwa kinamama.
Nawapongeza kinamama wote wa JF kwa kazi nzuri wanayofanya ya kuwa kinamama.