Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi ambaye sipo Tanzania kwa sasa.
Nawapa big up, Mungu azidi kuwalinda ili tukamilishe ukombozi wa mtanzania.