Hongera Patrick Ole Sosopi Makamu Mwenyekiti BAVICHA, Karibu Nyumbani Isimani

.
Mkuu 2010 tukiwa tumemsaidia Dr.Kapwani kuchukua form ya Ubunge..akiwa amejaza kwa ufasaha kabisa...akatupiga chenga wakati wa kirudisha...
Tumekaaa mpaka 1645hrs hajatokea...Msimamizi Wa uchaguzi akamuongezea muda wa kurudisha lkn kimyaaa....Basi muda ukawa umeisha.
Mchezo huu ulifanywa na Lukuvi na Meneja Kampeni wake Jamaa Fulani anaitwa Ronjino Kayage,Wakamuhonga hela ya kutosha...Kwa Sasa Dr.Kapwani kapooza..sidhani kama atarudi 2015!
kwa mujibu wa vitabu vya dini laana ya usaliti huo itatafuna hadi kizazi chake cha 4 ! Mtu kama huyu hafai hata kucheza naye bao ; ni wa kutengwa kama ebola ametia aibu itakayodumu milele , naihurumia sana familia yake .
 
kwa mujibu wa vitabu vya dini laana ya usaliti huo itatafuna hadi kizazi chake cha 4 ! Mtu kama huyu hafai hata kucheza naye bao ; ni wa kutengwa kama ebola ametia aibu itakayodumu milele , naihurumia sana familia yake .

Maneno mazito haya
 
Mkuu huyu ni Nyang'oro unaingia ndani kama unaenda Igula,Lakini hata huko Izazi na Migoli ana ndugu maana ndio alikoolea.
Kwetu sisi ni furaha maadamu anatoka ktk Jamii yetu

by jamii you mean mmasai? maana hata Lukuvi ni mtu wa Isimani? you start campaigning kwa tribal basis utashindwa mapemaaaaa, maana masai are very few huko isimani na ukijilisha na long historia ya sera za nchi kuwabagua wafugaji (mostly maasai) na kuwapendelea wakulima (mostly wahehe, wabena na wakinga) ambao ndio wamejaa huko isimani ana wanamakazi ya kudumu, ni vema kuwa makini na matumizi ya neno anatoka katika Jamii yetu. This is just an advice, as free political strategist nakushauri uepuke hilo neno mapema sana, siasa za namna hiyo Iringa ni hatari sana, just for record, Hans Kitine alishindwa Ubunge Iringa mjini just kwa kuwa ni Mkinga, I remember wahehe waliambiwa kumchagua mkinga mshamba ni aibu, bwana Kibasa akapita kirahis kabisa (though ilibidi kukesha manisipaa kulinda kura maana tulipanga CCM walipanga kuiba kama kawaida yetu). Jimbo la Isimani has problem of water, lakini ni jimbo ambalo lina shule za sekondari mbili ambazo ni za kiwango cha juu kwa hali ya Tanzania (Isimani na Idodi sec), kuna kituo cha afya kila kata (tena hivi vimejengwa ubora kabisa), kuna hospital nzuri ingawa, vitu hivi vingi vimnefanikishwa na Kanisa ra Roman Catholic parokia ya Isiman, Jina la lukuvi linaambatanishwa sana na haya mafanikio, I have been around all villages za jimbo la Isimani for tafiti za maliasili, I know, if you really want your boy to win, water might bapita jimbo e a best agenda, but do not forget kuna barabara inajengwa kwa kiwango cha Rami toka Iringa to Dodoma, inapita Jimbo la Isimani, lukuvi take credit for that. You should think of how ton address these issues, rather than simple politics ya alikuwa mwanamapinduzi chuoni!!!!! ni wa jamii yetu!!!!!

Think of how his maasai background would connect with other ethnicity? how you would face Lukuvi propanga when he will tell farmers (The mojority) kwamba mkimchagua huyu masaai ataruhusu mifugo ya ndugu zake kuingia kwenye mashamba yenu? Think of these kind of propaganda Lukuvi na CCM vijana wake tutavyotumia historia na "ugeni" wa masaai kumwangamiza kisiasa, pale nitakaposimama jukwaani na kusema "Si mmeshuhudia ukabila ndani ya Chadema, wamempa Sosopi kuwa makamu mweyekiti wa bavicha kwa kuwa natoka kaskazini (ukumbuke watanzania wengi wanaamni Maasai ni watu wa Arusha) na kumwacha dada yetu wa njombe kwa kuwa ni mbena.
Huu ushauri wa bure, ni vema kujipanga mapema, ikiwa kweli mnataka ushindi.

Kila la kheri, I hope you will see my point, which is not to atack you but to prepare you for the challenge ahead.
 
Hongera Patrick Ole Sosopi Makamu Mwenyekiti BAVICHA Taifa,Huu ni ukurasa Mpya kwa Jimbo la Isimani ambalo kwa muda mrefu limekuwa gizani katika harakati na mageuzi ya kiasiasa.

Toka mfumo wa Vyama uanze Jimbo la Isimani halijawahi kuwa na upinzani thabiti...Toka mwaka 1995 William Lukuvi Vangimembe amejitangazia ushindi na kupita bila kupingwa katika chaguzi zote,hii ilimpa kiburi na kuwadharau wananchi,Kati ya Majimbo masikini na yasiyo na maendeleo basi Isimani ipo ndani ya "10 bora".

Hali ya huduma za Maji ni mbovu sana,Watu wanakunywa Maji ya makorongoni wanayo-share na ngedere,Wakati Mbunge anaanzisha Kombe la Mashindano ya Mpira lenye thamani ya zaidi ya Milioni 20..Ukarabati Wa Kisima cha Maji safi katika Kata ya Izazi unahitaji Milioni 15 tu.

Naam...Ole Sosopi,Kijana uliyekua katikati ya umasikini wa sisi ndugu zako tunategemea harakati zako...uwe mjumbe na balozi wetu,Paza sauti na usikate tamaa,Iweke Isimani katika ramani ya siasa za Kitaifa,tuletee viongozi wa kitaifa Jimboni kwetu ili waje waamshe na kutoa elimu ya Uraia.

Imetosha kwa Mbunge kuwa kama mfalme,inatosha kwa Isimani kutotamkwa tamkwa ktk Hansard za Bunge,Tumekosa wa kutusemea bungeni....Maisha yetu hayaonekani kukumbukwa na Serikali ya Chama tawala,Hakuna miradi ya kimaendeleo inayofanyika ktk Jimbo letu,si miradi ya Maji,huduma za afya wala elimu.

Karibu kijana wetu Ole Sosopi,Usinunurike wala kuhadaika,Wana Isimani tupo nyuma yako.Umeipa sifa Isimani yetu kwa kuingia ktk siasa za kitaifa.



Wana isman mmepata mtu,asiyejivuna kwa kulewa vyeo,Lukuvi baada ya kutajirika sana hana habari na maskini hawa,"Watu wenye hekima wanasema kwa sababu wana jambo la kusena,wapumbavu,wanasema kwa sababu wanapenda kusena..."Plato,Lukuvi ni kiongozi wa kwanza kutuhumu au kutamka masuala ya zanzibar kujitawala,itazalisha genge la waislam wenye siasa kali.

Ni afrika tu unaweza kumvumilia mtu kama huyu,Sosopi waandae watu kutafuta mtu atakayeona ubunge wake ni utadumu tu,ikiwa wananchi maskini,wasiona mahuduma za msingi, waweze kumpata ntu anayelia nao,na kucheka nao
 
by jamii you mean mmasai? maana hata Lukuvi ni mtu wa Isimani? you start campaigning kwa tribal basis utashindwa mapemaaaaa, maana masai are very few huko isimani na ukijilisha na long historia ya sera za nchi kuwabagua wafugaji (mostly maasai) na kuwapendelea wakulima (mostly wahehe, wabena na wakinga) ambao ndio wamejaa huko isimani ana wanamakazi ya kudumu, ni vema kuwa makini na matumizi ya neno anatoka katika Jamii yetu. This is just an advice, as free political strategist nakushauri uepuke hilo neno mapema sana, siasa za namna hiyo Iringa ni hatari sana, just for record, Hans Kitine alishindwa Ubunge Iringa mjini just kwa kuwa ni Mkinga, I remember wahehe waliambiwa kumchagua mkinga mshamba ni aibu, bwana Kibasa akapita kirahis kabisa (though ilibidi kukesha manisipaa kulinda kura maana tulipanga CCM walipanga kuiba kama kawaida yetu). Jimbo la Isimani has problem of water, lakini ni jimbo ambalo lina shule za sekondari mbili ambazo ni za kiwango cha juu kwa hali ya Tanzania (Isimani na Idodi sec), kuna kituo cha afya kila kata (tena hivi vimejengwa ubora kabisa), kuna hospital nzuri ingawa, vitu hivi vingi vimnefanikishwa na Kanisa ra Roman Catholic parokia ya Isiman, Jina la lukuvi linaambatanishwa sana na haya mafanikio, I have been around all villages za jimbo la Isimani for tafiti za maliasili, I know, if you really want your boy to win, water might bapita jimbo e a best agenda, but do not forget kuna barabara inajengwa kwa kiwango cha Rami toka Iringa to Dodoma, inapita Jimbo la Isimani, lukuvi take credit for that. You should think of how ton address these issues, rather than simple politics ya alikuwa mwanamapinduzi chuoni!!!!! ni wa jamii yetu!!!!!

Think of how his maasai background would connect with other ethnicity? how you would face Lukuvi propanga when he will tell farmers (The mojority) kwamba mkimchagua huyu masaai ataruhusu mifugo ya ndugu zake kuingia kwenye mashamba yenu? Think of these kind of propaganda Lukuvi na CCM vijana wake tutavyotumia historia na "ugeni" wa masaai kumwangamiza kisiasa, pale nitakaposimama jukwaani na kusema "Si mmeshuhudia ukabila ndani ya Chadema, wamempa Sosopi kuwa makamu mweyekiti wa bavicha kwa kuwa natoka kaskazini (ukumbuke watanzania wengi wanaamni Maasai ni watu wa Arusha) na kumwacha dada yetu wa njombe kwa kuwa ni mbena.
Huu ushauri wa bure, ni vema kujipanga mapema, ikiwa kweli mnataka ushindi.

Kila la kheri, I hope you will see my point, which is not to atack you but to prepare you for the challenge ahead.

Nashukuru katika uandishi wako umekiri kuwa we we ni kada wa chama cha mapinduzi...Na umetumika sana kuwanunua au kuhadaa wananchi.
Dhambi zenu mnazoeneza za ukabila zinazidi kuwatafuna,kwako neno "Jamii" unalihusisha na ukabila,na umeshalitengenezea propaganda kuwa "Jamii"nayoizungumzia ni Wamasai.Kamwambie Lukuvi Isimani kumekucha,maana hata mkisema mtugawe kwa ukabila,Hamjafanya lolote kwa kabila Moja kuwapa maendeleo kuliko kabila jingine..Kama ni kupigika basi Wahehe na Wamasai tunaoigika sawa kimaisha.
Kwetu Isimani hatuna ukabila..maana tunevuka kiwango cha ukabila..Isimani si ya Wahehe tu,tuna Waking a,Wamanda,Wakisi,Wanyasa(Hao wapo mwambao Wa bwawa la Mtela wakivua),Wamasai,Wamang'ati na Wagogo..hatubaguani kwa minajili ya ukabila..Jamii yetu ni moja.Mkija na Sera hiyo mmenowa.
Maendeleo unayoyataja hayajaja kwa nguvu ya Lukuvi....Tunatambua mambo hayo mengi yana nguvu za Wamisionary Wa Kanisa katoliki.Shule za Isimani,Nyerere Migoli ni nguvu za wamisionary.Barabara haina kududanganya ni kodi zetu.
Hatupo nyuma ya Sosopi sababu ya Umasai wake Bali sababu no wa Jamii yetu...Na Lukuvi hatujamchoka sababu ya Uhehe wake Bali sababu ya kutowajibika kwake.Wacheni propaganda zenu za kilukuvi
 
by jamii you mean mmasai? maana hata Lukuvi ni mtu wa Isimani? you start campaigning kwa tribal basis utashindwa mapemaaaaa, maana masai are very few huko isimani na ukijilisha na long historia ya sera za nchi kuwabagua wafugaji (mostly maasai) na kuwapendelea wakulima (mostly wahehe, wabena na wakinga) ambao ndio wamejaa huko isimani ana wanamakazi ya kudumu, ni vema kuwa makini na matumizi ya neno anatoka katika Jamii yetu. This is just an advice, as free political strategist nakushauri uepuke hilo neno mapema sana, siasa za namna hiyo Iringa ni hatari sana, just for record, Hans Kitine alishindwa Ubunge Iringa mjini just kwa kuwa ni Mkinga, I remember wahehe waliambiwa kumchagua mkinga mshamba ni aibu, bwana Kibasa akapita kirahis kabisa (though ilibidi kukesha manisipaa kulinda kura maana tulipanga CCM walipanga kuiba kama kawaida yetu). Jimbo la Isimani has problem of water, lakini ni jimbo ambalo lina shule za sekondari mbili ambazo ni za kiwango cha juu kwa hali ya Tanzania (Isimani na Idodi sec), kuna kituo cha afya kila kata (tena hivi vimejengwa ubora kabisa), kuna hospital nzuri ingawa, vitu hivi vingi vimnefanikishwa na Kanisa ra Roman Catholic parokia ya Isiman, Jina la lukuvi linaambatanishwa sana na haya mafanikio, I have been around all villages za jimbo la Isimani for tafiti za maliasili, I know, if you really want your boy to win, water might bapita jimbo e a best agenda, but do not forget kuna barabara inajengwa kwa kiwango cha Rami toka Iringa to Dodoma, inapita Jimbo la Isimani, lukuvi take credit for that. You should think of how ton address these issues, rather than simple politics ya alikuwa mwanamapinduzi chuoni!!!!! ni wa jamii yetu!!!!!

Think of how his maasai background would connect with other ethnicity? how you would face Lukuvi propanga when he will tell farmers (The mojority) kwamba mkimchagua huyu masaai ataruhusu mifugo ya ndugu zake kuingia kwenye mashamba yenu? Think of these kind of propaganda Lukuvi na CCM vijana wake tutavyotumia historia na "ugeni" wa masaai kumwangamiza kisiasa, pale nitakaposimama jukwaani na kusema "Si mmeshuhudia ukabila ndani ya Chadema, wamempa Sosopi kuwa makamu mweyekiti wa bavicha kwa kuwa natoka kaskazini (ukumbuke watanzania wengi wanaamni Maasai ni watu wa Arusha) na kumwacha dada yetu wa njombe kwa kuwa ni mbena.
Huu ushauri wa bure, ni vema kujipanga mapema, ikiwa kweli mnataka ushindi.

Kila la kheri, I hope you will see my point, which is not to atack you but to prepare you for the challenge ahead.
KWA WANA ISMANI
NI HERI OLE SOSOPI MMASAI wa ISMANI KULIKO LUKUVI MHEHE WA DSM .
 
Nashukuru katika uandishi wako umekiri kuwa we we ni kada wa chama cha mapinduzi...Na umetumika sana kuwanunua au kuhadaa wananchi.
Dhambi zenu mnazoeneza za ukabila zinazidi kuwatafuna,kwako neno "Jamii" unalihusisha na ukabila,na umeshalitengenezea propaganda kuwa "Jamii"nayoizungumzia ni Wamasai.Kamwambie Lukuvi Isimani kumekucha,maana hata mkisema mtugawe kwa ukabila,Hamjafanya lolote kwa kabila Moja kuwapa maendeleo kuliko kabila jingine..Kama ni kupigika basi Wahehe na Wamasai tunaoigika sawa kimaisha.
Kwetu Isimani hatuna ukabila..maana tunevuka kiwango cha ukabila..Isimani si ya Wahehe tu,tuna Waking a,Wamanda,Wakisi,Wanyasa(Hao wapo mwambao Wa bwawa la Mtela wakivua),Wamasai,Wamang'ati na Wagogo..hatubaguani kwa minajili ya ukabila..Jamii yetu ni moja.Mkija na Sera hiyo mmenowa.
Maendeleo unayoyataja hayajaja kwa nguvu ya Lukuvi....Tunatambua mambo hayo mengi yana nguvu za Wamisionary Wa Kanisa katoliki.Shule za Isimani,Nyerere Migoli ni nguvu za wamisionary.Barabara haina kududanganya ni kodi zetu.
Hatupo nyuma ya Sosopi sababu ya Umasai wake Bali sababu no wa Jamii yetu...Na Lukuvi hatujamchoka sababu ya Uhehe wake Bali sababu ya kutowajibika kwake.Wacheni propaganda zenu za kilukuvi

MUNGU AKUEPUSHE NA VITU vyENYE NCHA KALI MKUU .
 
I wish anamng'oa Lukuvi katika siasa za Tanzania. Lukuvi ana kiburi cha madaraka sijapata kuona.
 
I wish anamng'oa Lukuvi katika siasa za Tanzania. Lukuvi ana kiburi cha madaraka sijapata kuona.

Kazi ndio imeanza Mkuu....Harakati zinaendelea,Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na Mwisho.2
Wakati wa Mabadiriko uliokubarika ndio sasa.
 
Hongera Patrick Ole Sosopi Makamu Mwenyekiti BAVICHA Taifa,Huu ni ukurasa Mpya kwa Jimbo la Isimani ambalo kwa muda mrefu limekuwa gizani katika harakati na mageuzi ya kiasiasa.

Toka mfumo wa Vyama uanze Jimbo la Isimani halijawahi kuwa na upinzani thabiti...Toka mwaka 1995 William Lukuvi Vangimembe amejitangazia ushindi na kupita bila kupingwa katika chaguzi zote,hii ilimpa kiburi na kuwadharau wananchi,Kati ya Majimbo masikini na yasiyo na maendeleo basi Isimani ipo ndani ya "10 bora".

Hali ya huduma za Maji ni mbovu sana,Watu wanakunywa Maji ya makorongoni wanayo-share na ngedere,Wakati Mbunge anaanzisha Kombe la Mashindano ya Mpira lenye thamani ya zaidi ya Milioni 20..Ukarabati Wa Kisima cha Maji safi katika Kata ya Izazi unahitaji Milioni 15 tu.

Naam...Ole Sosopi,Kijana uliyekua katikati ya umasikini wa sisi ndugu zako tunategemea harakati zako...uwe mjumbe na balozi wetu,Paza sauti na usikate tamaa,Iweke Isimani katika ramani ya siasa za Kitaifa,tuletee viongozi wa kitaifa Jimboni kwetu ili waje waamshe na kutoa elimu ya Uraia.

Imetosha kwa Mbunge kuwa kama mfalme,inatosha kwa Isimani kutotamkwa tamkwa ktk Hansard za Bunge,Tumekosa wa kutusemea bungeni....Maisha yetu hayaonekani kukumbukwa na Serikali ya Chama tawala,Hakuna miradi ya kimaendeleo inayofanyika ktk Jimbo letu,si miradi ya Maji,huduma za afya wala elimu.

Karibu kijana wetu Ole Sosopi,Usinunurike wala kuhadaika,Wana Isimani tupo nyuma yako.Umeipa sifa Isimani yetu kwa kuingia ktk siasa za kitaifa.

Mkuu umeamua kujianzishia mwenyewe thread?!
 
Mkuu umeamua kujianzishia mwenyewe thread?!

Huwezi amini....Hata huyo unahisi ni muanzisha thread hanijui...Mimi ni mmoja kati ya wengi tuliosubiri mabadiriko na ujio wa upinzani Jimboni kwetu
Usiishie kudhania...Ipo siku utajidhania umekufa kumbe u hai
 
Mkuu huyu ni Nyang'oro unaingia ndani kama unaenda Igula,Lakini hata huko Izazi na Migoli ana ndugu maana ndio alikoolea.
Kwetu sisi ni furaha maadamu anatoka ktk Jamii yetu


Mkulula kata ya Malengamakali, babayake ni mfugaji mkubwa sana na amesaidia sana eneo la Ismani kwa kuazimisha mifugo yake kulimia. kijana anajiweza sana.
 
Nashukuru katika uandishi wako umekiri kuwa we we ni kada wa chama cha mapinduzi...Na umetumika sana kuwanunua au kuhadaa wananchi.
Dhambi zenu mnazoeneza za ukabila zinazidi kuwatafuna,kwako neno "Jamii" unalihusisha na ukabila,na umeshalitengenezea propaganda kuwa "Jamii"nayoizungumzia ni Wamasai.Kamwambie Lukuvi Isimani kumekucha,maana hata mkisema mtugawe kwa ukabila,Hamjafanya lolote kwa kabila Moja kuwapa maendeleo kuliko kabila jingine..Kama ni kupigika basi Wahehe na Wamasai tunaoigika sawa kimaisha.
Kwetu Isimani hatuna ukabila..maana tunevuka kiwango cha ukabila..Isimani si ya Wahehe tu,tuna Waking a,Wamanda,Wakisi,Wanyasa(Hao wapo mwambao Wa bwawa la Mtela wakivua),Wamasai,Wamang'ati na Wagogo..hatubaguani kwa minajili ya ukabila..Jamii yetu ni moja.Mkija na Sera hiyo mmenowa.
Maendeleo unayoyataja hayajaja kwa nguvu ya Lukuvi....Tunatambua mambo hayo mengi yana nguvu za Wamisionary Wa Kanisa katoliki.Shule za Isimani,Nyerere Migoli ni nguvu za wamisionary.Barabara haina kududanganya ni kodi zetu.
Hatupo nyuma ya Sosopi sababu ya Umasai wake Bali sababu no wa Jamii yetu...Na Lukuvi hatujamchoka sababu ya Uhehe wake Bali sababu ya kutowajibika kwake.Wacheni propaganda zenu za kilukuvi

I guess I have explained the same thing in another language, I said Roman catholic has done a lot but for ages Lukuvi claimed credit. Naona shida nyuma ya uandishi wako ni Jazba na haraka ya ushindi, I gave you what "tutatumia" instead of telling how you will respond at my arguments yuo are attacking my personality! you too stupid! yes I say you stupid! do you think if I was on Lukuvi side would come forward and say what we gonna use against Sosopi? do think I would come forward and write all that now? you to stupid even to know your enemies or allies! in this forum you have to be careful, so sehem ya kukurupuka, soma! tafakari maana! utajua marafiki na maadaui. I gave you possible issues that could used against your possible candidate, ulipaswa kuja na majibu! how you gonna tackle, Lukuvi has the advantage, he has the machinery and people who voted for him before, how you gonna turn that around. Were you there when, for the first time Kibasa took Jimbo la Iringa Mjini, were you there when Mgimwa (the father) won nomination for Kalenga? do you kow what happened. Opposition in Tanzania loose because those who claim to be in opposition ni watu wenye Jazba, hawasikilizi, mnaamini kujua kila kitu. Let me give you another problem, and this is in chadema itself, CHIKU Abwao alijiaandaa kwa miaka yote ya Ubunge wake kuja kugombea Isimani next election, kasindwa vibaya uchaguzi wa ndani, sasa hana ukakika wa kurudi bungeni, huyu naye hujamuwaza pengine kama ni potentila kikwazo kwa sosopi wako. Tena Abwao might be more dangerous than Lukuvi.

Ukiendelea na siasa za kiukombozi kwa jimbo la Isimani kijana hatofika popote, sehemu kubwa yenye jamii za wakulima na ardhi bado sio tatitzo, siasa za Kiukombozi huwa hazifanyi kazi, ikiwa unafuatilia siasa za Tanzania, utangundua shida ya maji na umeme havijawahi kumuondoa mbunge hata mmoja, but sehemu ambazo wakulima wamekosa ardhi na wafugaji hawana malisho wabunge wa upinzani ndo wanashinda huko, sehemu ambazo mazao ya biashara yamekosa soko ndo upinzani unakua, lakinin so ukosefu wa maji safi na umeme. Draw a political map, and locate where opposition is powerful in Tanzania and you will see what I mean.
Good lack
 
I guess I have explained the same thing in another language, I said Roman catholic has done a lot but for ages Lukuvi claimed credit. Naona shida nyuma ya uandishi wako ni Jazba na haraka ya ushindi, I gave you what "tutatumia" instead of telling how you will respond at my arguments yuo are attacking my personality! you too stupid! yes I say you stupid! do you think if I was on Lukuvi side would come forward and say what we gonna use against Sosopi? do think I would come forward and write all that now? you to stupid even to know your enemies or allies! in this forum you have to be careful, so sehem ya kukurupuka, soma! tafakari maana! utajua marafiki na maadaui. I gave you possible issues that could used against your possible candidate, ulipaswa kuja na majibu! how you gonna tackle, Lukuvi has the advantage, he has the machinery and people who voted for him before, how you gonna turn that around. Were you there when, for the first time Kibasa took Jimbo la Iringa Mjini, were you there when Mgimwa (the father) won nomination for Kalenga? do you kow what happened. Opposition in Tanzania loose because those who claim to be in opposition ni watu wenye Jazba, hawasikilizi, mnaamini kujua kila kitu. Let me give you another problem, and this is in chadema itself, CHIKU Abwao alijiaandaa kwa miaka yote ya Ubunge wake kuja kugombea Isimani next election, kasindwa vibaya uchaguzi wa ndani, sasa hana ukakika wa kurudi bungeni, huyu naye hujamuwaza pengine kama ni potentila kikwazo kwa sosopi wako. Tena Abwao might be more dangerous than Lukuvi.

Ukiendelea na siasa za kiukombozi kwa jimbo la Isimani kijana hatofika popote, sehemu kubwa yenye jamii za wakulima na ardhi bado sio tatitzo, siasa za Kiukombozi huwa hazifanyi kazi, ikiwa unafuatilia siasa za Tanzania, utangundua shida ya maji na umeme havijawahi kumuondoa mbunge hata mmoja, but sehemu ambazo wakulima wamekosa ardhi na wafugaji hawana malisho wabunge wa upinzani ndo wanashinda huko, sehemu ambazo mazao ya biashara yamekosa soko ndo upinzani unakua, lakinin so ukosefu wa maji safi na umeme. Draw a political map, and locate where opposition is powerful in Tanzania and you will see what I mean.
Good lack
umeandika vizuri lakini umeharibu pale ulipotukana , hakukuwa na haja ya jazba huku ukimshutumu mleta uzi kwa jazba hizohizo .
 
I guess I have explained the same thing in another language, I said Roman catholic has done a lot but for ages Lukuvi claimed credit. Naona shida nyuma ya uandishi wako ni Jazba na haraka ya ushindi, I gave you what "tutatumia" instead of telling how you will respond at my arguments yuo are attacking my personality! you too stupid! yes I say you stupid! do you think if I was on Lukuvi side would come forward and say what we gonna use against Sosopi? do think I would come forward and write all that now? you to stupid even to know your enemies or allies! in this forum you have to be careful, so sehem ya kukurupuka, soma! tafakari maana! utajua marafiki na maadaui. I gave you possible issues that could used against your possible candidate, ulipaswa kuja na majibu! how you gonna tackle, Lukuvi has the advantage, he has the machinery and people who voted for him before, how you gonna turn that around. Were you there when, for the first time Kibasa took Jimbo la Iringa Mjini, were you there when Mgimwa (the father) won nomination for Kalenga? do you kow what happened. Opposition in Tanzania loose because those who claim to be in opposition ni watu wenye Jazba, hawasikilizi, mnaamini kujua kila kitu. Let me give you another problem, and this is in chadema itself, CHIKU Abwao alijiaandaa kwa miaka yote ya Ubunge wake kuja kugombea Isimani next election, kasindwa vibaya uchaguzi wa ndani, sasa hana ukakika wa kurudi bungeni, huyu naye hujamuwaza pengine kama ni potentila kikwazo kwa sosopi wako. Tena Abwao might be more dangerous than Lukuvi.

Ukiendelea na siasa za kiukombozi kwa jimbo la Isimani kijana hatofika popote, sehemu kubwa yenye jamii za wakulima na ardhi bado sio tatitzo, siasa za Kiukombozi huwa hazifanyi kazi, ikiwa unafuatilia siasa za Tanzania, utangundua shida ya maji na umeme havijawahi kumuondoa mbunge hata mmoja, but sehemu ambazo wakulima wamekosa ardhi na wafugaji hawana malisho wabunge wa upinzani ndo wanashinda huko, sehemu ambazo mazao ya biashara yamekosa soko ndo upinzani unakua, lakinin so ukosefu wa maji safi na umeme. Draw a political map, and locate where opposition is powerful in Tanzania and you will see what I mean.
Good lack

Tuliza munkari kijana...Matusi ya nini?
 
Tuliza munkari kijana...Matusi ya nini?

Stupid means ujinga, na hili so tusi hata kidogo, utakumbuka early 1980s kulikuwa na program kubwa ya kufuta ujinga Tanzania, serikali ikaanzisha elimu ya watu wazima, raisi wa kipindi hicho akatangaza kuwa tunafuta ujinga, hili halikuwa tusi kwa walengwa, wazee wetu wakajitokeza kufundishwa kusoma na kuandika ili kufuta ujinga wao. Ujinga ni ukosefu wa maarifa katika jambo fulani, na huu huweza kubadilika pale mtu anapopata maaarifa husika. MPUMBAVU ndio tusi, kwa lugha ya kimalkia ni Idiot. Huu haufutiki, na wala hautoki. I used the word stupid (ujinga) kwa kuamini kuwa utapata maarifa na utafuta ujinga wa hili suala. I meant no offence.
 
Back
Top Bottom