Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Tumepata bahati ya kusali ijumaa zetu bila ya usimamizi wa Polisi tuliozoea nao. ilikuwa nadra kukuta Ijumaa inasaliwa huku polisi wakiwa wamezunguruka misikiti.
hongera kwa kazi kubwa mnayofanya kwa kudumisha amani .kwani wakati polisi wakilinda msikiti majambazi walikuwa wakifanya uhalifu madukani.lkn baada ya polisi kujua jukumu lake la kupambana na majambazi hatimae ujambazi umetokomea.
Hongera IGP mwema kwa kuona kasoro hiyo
hongera kwa kazi kubwa mnayofanya kwa kudumisha amani .kwani wakati polisi wakilinda msikiti majambazi walikuwa wakifanya uhalifu madukani.lkn baada ya polisi kujua jukumu lake la kupambana na majambazi hatimae ujambazi umetokomea.
Hongera IGP mwema kwa kuona kasoro hiyo