CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Napenda kuipongeza halmashauri yangu ya jiji la arusha kwa kuwa na mikakati ya kuweka jiji safi kuanzia tarehe 1/9..hii itaambatana na kuwaondoa wafanya biashara wadogowadogo maeneo ya mabarabarani
rai yangu:
Ni vyema hawa wafanyabiashara wakatafutiwa mahali pa kufanyia biashara.hii itaepusha mapigano ya mara kwa mara
rai yangu:
Ni vyema hawa wafanyabiashara wakatafutiwa mahali pa kufanyia biashara.hii itaepusha mapigano ya mara kwa mara