MIAKA 50 YA UHURU:
Watoto na wazazi wa Kijiji cha Oliipil, Loliondo mkoani Arusha wakisubiri wauguzi na madaktari kutoka Hospitali ya Wasso kwa ajili ya kliniki. Jengo linaloonekana ndiyo zahanati na kliniki ya kijiji hicho. Picha hii ilipigwa na Manyerere Jackton wiki iliyopita.
Take this:'Bila ccm hata nguo tusingekuwa nazo yatupasa tuishukuru'Mwenyekiti wa CCM Kisarawe