zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Inasemekana baada ya kujifilisi wenyewe,hawa jamaa wamefungua icd mpya ipo nyerere road mita chache kufika mataa ya Tazara,unapita barabara ya vumbi karibu na ofisi ya TBC pale.
Kwasasa yasemekana wanafanya Transit tu.
Customs officer aliepo hapo alihamishwa kutoka TIcts na kupewa kituo hicho ambacho bado ni kichaka cha hao mabwana.
Kwa kuanzia tu naomba mh Raisi au Waziri mkuu pita hapo Galco Icd mjue anachokifanya huyo.
Kwasasa yasemekana wanafanya Transit tu.
Customs officer aliepo hapo alihamishwa kutoka TIcts na kupewa kituo hicho ambacho bado ni kichaka cha hao mabwana.
Kwa kuanzia tu naomba mh Raisi au Waziri mkuu pita hapo Galco Icd mjue anachokifanya huyo.