All I can say is that easy come easy go. Wanawake wengi wanao chelewa kutoa jibu huwa ukisha wapata ni waaminifu sana.
That's not an absolute....
Ni kweli unacho sema mkuu ila ungesoma mwisho wa post ungeona nimesema hata akichelewa kujibu haimaanishi ni mwaminifu. Lakini nimekuelewa it not absolute.
Sitaki ligi ila naona kama uliji-contradict vile...