BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Wanaingia wakati waziri hayupo. Nchini au mgonjwa hivi.
Mfalme Daudi alikuwa ni noma, alimpeleka jamaa vitani tena front line ili afe then mzigo abaki nao anaula kiukainii..ha ha haDaudi kachepuka na mke wa Uria.
Huyu dada naona anawakosesha usingizi kila saa mnamtaja tu .Kwani Mange anasemaje?
Sana aisee.Huyu dada naona anawakosesha usingizi kila saa mnamtaja tu .
Unaandika kama vile wewe ni maraika asiye na dhambi!
Kwa fikra zako duni unadhani wale wote wanaosali/swali hawana dhambi.
Wakristo husema usihukumu ili usije kuhukumiwa.
Hata Yesu alikuja kwa wenye dhambi na sio kwa wasio na dhambi.
hajasema kitu ila anaendelea kuwatia vidole wana CCM wabeba box kama ninyi!Kwani Mange anasemaje?
Mkuu kwahiyo huko kunako nawewe umesha poteza marinda????
Mange amesema ' Mungu hakunyimi vyote, alikunyima akili lkn amekupa ujinga'.Kwani Mange anasemaje?
Hilo lilikua swali langu?weka jibu au nenda post nyingine.Au na wewe upo kwenye payrol ya DAB?Umeanza vzr ila umemalizia utumbo mtupu...kwani unasema kuua upinzani kwani kiapo hicho kilianza lini? upinzani nchini ulianza 1992 je chini ya huo mwaka walikua wanaapaje?au Huyo DB unaemsema yupo madarakani tangu lini? na viapo hivyo vimeanza lini?
Yapi RC?Si ungeweka na kifungu cha kuonyesha hayo unayoongelea au!?
Yapi RC?
Waziri Kama hayupo huwakilishwa na Waziri mwenziye na Sio naiUtaratibu upo hivi
Ni ukweli usiopingika kuwa manaibu mawaziri sio wajumbe wa baraza la mawaziri.
Lakini
Mawaziri na manaibu mawaziri huapa kutotoa siri ya baraza la mawaziri kwa kuwa kuna wakati naibu waziri huwa anamuwakilisha waziri wake kwenye baraza la mawaziri ikiwa waziri husika hayupo.(dharura) hii inamfanya naibu waziri kuhudhuria vikao hivi.
Kwa hiyo ni sahihi kabisa naye naibu waziri kuapa kiapo hicho inadvance
Hapo sasa!Waziri Kama hayupo huwakilishwa na Waziri mwenziye na Sio nai
The boss ladyMtani,who is Mange?