Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Wabunge wote nawaombeni Mpeleke hoja kwa spika Wa Bunge kunahitajika ipigwe kura ya kutomuamini Raisi na serikali yote kwani madudu yafwanyayo hayavumuliki.
Wananchi wamesha choka yaani namaanisha.. pengine itawaamsha watawala wanaolala nimeona hata wabunge wanavyoisikitikia nchi yetu... Raisi yaonesha hana mpango nasi kwani hana shida ya kimaisha wala taabu na hakerwi na maisha yetu. me nitapiga kura na akitolewa ataifishwe mali zake alizotuchukulia iwe fundisho kwa kila raia anaenunua uongozi for faida yake
Wananchi wamesha choka yaani namaanisha.. pengine itawaamsha watawala wanaolala nimeona hata wabunge wanavyoisikitikia nchi yetu... Raisi yaonesha hana mpango nasi kwani hana shida ya kimaisha wala taabu na hakerwi na maisha yetu. me nitapiga kura na akitolewa ataifishwe mali zake alizotuchukulia iwe fundisho kwa kila raia anaenunua uongozi for faida yake