Elections 2010 Hofu ya Mungu Imeenda Wapi....??

May 19, 2011
62
5
Ndugu zanguni,katika mafundisho yangu ya dini nimefundishwa kuwa Uongozi wowote ule unatoka kwa Mungu,..Na sio kwa SHETANI hata kama umeingia kwa RUshwa...Lakini mwenyezi Mungu anaacha ata ule uongozi mbaya ili tukome,tutambue kwamba tumesahau kumfikiria yeye na kuabudu miungu mingine,..Tunaona mfano wana waisrael walipokuwa wanakosea Mungu aliwaadhibu kwa Kuwaweka chini ya mataifa mpaka walipotubu...Sasa je Leo Tanzania huu uliopo ni Uongozi wa namna Ipi..?Umetoka kwa Mungu hakuna ubishi lakini ni ili TUKOME au TUFURAHI..na kama ili TUKOME ,,..unaamini kwamba Maandamano ya CHADEMA ndio njia Ya Mwenyezi Kutukomboa,..Bila ya watu kumgeukia YEYE...
 
Ndugu zanguni,katika mafundisho yangu ya dini nimefundishwa kuwa Uongozi wowote ule unatoka kwa Mungu,..Na sio kwa SHETANI hata kama umeingia kwa RUshwa...Lakini mwenyezi Mungu anaacha ata ule uongozi mbaya ili tukome,tutambue kwamba tumesahau kumfikiria yeye na kuabudu miungu mingine,..Tunaona mfano wana waisrael walipokuwa wanakosea Mungu aliwaadhibu kwa Kuwaweka chini ya mataifa mpaka walipotubu...Sasa je Leo Tanzania huu uliopo ni Uongozi wa namna Ipi..?Umetoka kwa Mungu hakuna ubishi lakini ni ili TUKOME au TUFURAHI..na kama ili TUKOME ,,..unaamini kwamba Maandamano ya CHADEMA ndio njia Ya Mwenyezi Kutukomboa,..Bila ya watu kumgeukia YEYE...

Hapo penye wino wa blue, sentensi hii siyo kweli. Shetani pia ana watu wake na anawapa uongozi kama ulivyo sasa. Huu uongozi umetoka kwa shetani baada ya watu (CCM) kuiba kura,So Erick, uongozi tulionao ni wa shetani tupu, chaguo la Mungu lilipokonywa uongozi
 
Back
Top Bottom