Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,599
SYM, kijana ni imara hata ukimwangalia machoni anapoongea, genuinity inaonekana machoni he is for real. Alipopiga kelele ya jengo yaliyomkuta sote tunayajua, walimshukia, thanks to JK alimnusuru kwa vile anajua the kid is capable.Ndio tatizo la CCM, ni chama cha mafisadi wanaolindana. Anajua UVCCM imepewa fedha za mafisadi, hawajawahi kupinga. Alisimama kupinga suala la ujenzi wa jengo la UVCCM kwa kuwa mkakati mzima ulikuwa ni kumlenga Lowassa. Baada ya hapo, hakuna kinachoendelea. Kimsingi, Nape anatakiwa kuwa ajenda zake na kusimama kama mtu huru badala ya kuwa kikaragosi cha Mzee Mengi.
serayamajimbo
Kwa upinzani uliopo kwa sasa, lazima tukubali CCM is there kututawala milele, wakati tukiendelea kujenga upinzani imara, we have to back watu safi waliopo ndani ya CCM ambao watafight from within, hawa ndio kina Nape na baadhi ya Makamanda, kwani if you can't beat them, better join them.