ndetia JF-Expert Member Jun 9, 2012 616 668 Jun 9, 2012 #1 Jaman mim ndio kwanza najiunga na Jf hamjambo? mim ni me
gfsonwin JF-Expert Member Apr 12, 2012 18,274 20,673 Jun 9, 2012 #2 mmmh!.............karbu mwaya ila watujia na nini?
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,398 Jun 9, 2012 #3 Umekosea mlango wa kupitia,......sio huku, pitia mlango wa utambulisho............. Yaani hodi mpaka chumbani...................!
Umekosea mlango wa kupitia,......sio huku, pitia mlango wa utambulisho............. Yaani hodi mpaka chumbani...................!
mbalu JF-Expert Member May 18, 2012 550 242 Jun 9, 2012 #4 we mi navaa ukirudi barazani usiseme ulichoona.
mbalu JF-Expert Member May 18, 2012 550 242 Jun 9, 2012 #5 Mtambuzi said: Umekosea mlango wa kupitia,......sio huku, pitia mlango wa utambulisho............. Yaani hodi mpaka chumbani...................! Click to expand... Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu.
Mtambuzi said: Umekosea mlango wa kupitia,......sio huku, pitia mlango wa utambulisho............. Yaani hodi mpaka chumbani...................! Click to expand... Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu.
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,398 Jun 9, 2012 #6 mbalu said: Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu. Click to expand... mbalu ...... Mwabhejah... nimekuelewa ....................... haya karibu..................LOL Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mbalu said: Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu. Click to expand... mbalu ...... Mwabhejah... nimekuelewa ....................... haya karibu..................LOL
shikolo Member Apr 18, 2012 72 21 Jun 9, 2012 #7 mbalu said: Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu. Click to expand... Baghosha yanghana eyeneyo?karibu mgeni ujisikie uko nyumbani
mbalu said: Huyu ni msukuma mwenzangu huwa tunapiga hodi tukiwa ndani usimlaumu. Click to expand... Baghosha yanghana eyeneyo?karibu mgeni ujisikie uko nyumbani
ndetia JF-Expert Member Jun 9, 2012 616 668 Jun 9, 2012 Thread starter #8 thanks nimeshakaribia, humu hamna party ya kukaribisha wagen?
mbalu JF-Expert Member May 18, 2012 550 242 Jun 9, 2012 #9 shikolo said: Baghosha yanghana eyeneyo?karibu mgeni ujisikie uko nyumbani Click to expand... Bhe'e shikolo uleyoganya shi. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
shikolo said: Baghosha yanghana eyeneyo?karibu mgeni ujisikie uko nyumbani Click to expand... Bhe'e shikolo uleyoganya shi.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,047 10,695 Jun 11, 2012 #13 Karibu sana JF mkuu.Kinywaji?
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 22, 2012 #15 haya ingia ndani, anza vinjari ujue mitaa usipotee, karibu saana