A Adui wa serikali Member Feb 25, 2012 14 0 Feb 28, 2012 #1 Ndo kwanza nina day 2,humu ndani,,,ombi langu nilikua naomba kiwepo kirumu cha kumdis FAKE DOCTOR,,,,na serikali yake ya awamu ya nne!
Ndo kwanza nina day 2,humu ndani,,,ombi langu nilikua naomba kiwepo kirumu cha kumdis FAKE DOCTOR,,,,na serikali yake ya awamu ya nne!
A Adui wa serikali Member Feb 25, 2012 14 0 Feb 28, 2012 Thread starter #3 Ebwana asante sana Ulimakafu,,,,bt ombi langu litapata ufumbuz!?
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Aug 17, 2011 37,442 25,589 Feb 28, 2012 #4 karibu mkuu ingia mpaka ndani... ila umekuja kwa kasi sana khaa..
A Adui wa serikali Member Feb 25, 2012 14 0 Feb 28, 2012 Thread starter #6 Tedo,,,kwa kas ipi tena jamaa?asante sana!@lumbatengata asante bana!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 28, 2012 #7 Karibu sana, kuwa makini humu ndani kuna ban!