karibu sana jukwaa la wakubwa!Habari zenu wana MMU? Mi ni member mpya humu naombeni mnipokee tushirikiane, nawapenda wote. Asanteni.
Nakupenda pia,,,, jinsia yako pls!
Nice V means nice vi-rgin? if that is true welcome to the world:A S-rose::A S-rose:Habari zenu wana MMU? Mi ni member mpya humu naombeni mnipokee tushirikiane, nawapenda wote. Asanteni.
Yap nawapenda!
Asante jaman mi "ke"
mi pia nakupenda! mimi ni me, nchi 16!
Kivipi mi mtoto bebii! nikuoneshe mashine ya kokoto??Hahahahaha!!!!!!!! we mtoto.
afu nishakujua we mtoto! wewe si ni ke? sasa ngoja nije..!!Hahahaaa afu we una vituko!!!
mi pia nakupenda! mimi ni me, nchi 16!
umetoa wapi bibie? lolz! hiyo ni length ya kichwa cha nanii!Urefu wako nchi 16?
una umri gani dadaangu? sorry lakini eenh!Mi mgen kwel asante kwa kunipenda my kaka.
hahahaa!! pole thana! umeogopa kumbe?? ngoja kukuche ntakuja kukuamsha mamii! sawa eenh?Sio vizuri kuntisha mtoto wa watu...ngoja nikalale chumbani kwa anti nisije nikaota unanikimbia bure! Aka mie...
Habari zenu wana MMU? Mi ni member mpya humu naombeni mnipokee tushirikiane, nawapenda wote. Asanteni.
Nielekeze vizur nipitie