Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
Mnamo tarehe 22 ya Mwezi huu wa Tano, Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alimwapisha mpinzani wake wa karibu katika mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (C.C.M) mwaka 2005 Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais kwa KAZI MAALUM.
Swali langu ni hapo kwenye red, hizo kazi maalum ni zipi? As political analyst ( Mchambuzi wa Masual ya Kisiasa) kuna swali moja tu ambalo bado linakosa jibu la uhakika.swali hilo ni hili hapa chini.
Kwanini Prof. Mwandosya?
Ikizingatiwa hayo yafuatayo
1. Afya ya Prof. Mwandosya bado haijaimarika. Na yeye alikiri kuwa kwa kusema " Afya Kwanza"
2.Prof. Mark Mwandosya alitoa upinzania mkali kwa Mr. President katika ule mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia CCM mwaka 2005. Alishika nafasi ya tatu nyuma ya Dkt. Salim Mohamed Salim na Dkt. Kikwete.
WASEMAVYO WASHIKA DAU
Wapo miongoni mwa wataalamu wa masual ya siasa nchini wanaoamini kuwa Mark Mwandosya na Jakaya Kikwete ni maswahiba wakubwa, na ushiriki wa Prof. Mark katika ule mchakto wa 2015 ulikuwa ni mpango kazi " strategic move" kupunguza na kugawa kura ambazo zingeenda kwa Dkt. Salim Ahmed Salim, kwahiyo Prof. Mark alishiriki kwa kiwango kikubwa sana kurahisisha ushindi na uteule wa Dkt. Kikwete. Wapo wanaoamini Ushiriki wa Prof. Mark ni zaidi ya ule uliokuwa unaitwa mtandao.
Wapo wanoamini kuna kitu ndani ya hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya. Lakini hatuwezi kufanya hitimisho ambalo halijafanyiwa utafiti. Jambo muhimu ni kwanza kujua hizo Kazi Maalum ni Zipi?
" As Africans our last hope is Scientific Socialism"
The Late Comrade Siad Barre
Swali langu ni hapo kwenye red, hizo kazi maalum ni zipi? As political analyst ( Mchambuzi wa Masual ya Kisiasa) kuna swali moja tu ambalo bado linakosa jibu la uhakika.swali hilo ni hili hapa chini.
Kwanini Prof. Mwandosya?
Ikizingatiwa hayo yafuatayo
1. Afya ya Prof. Mwandosya bado haijaimarika. Na yeye alikiri kuwa kwa kusema " Afya Kwanza"
2.Prof. Mark Mwandosya alitoa upinzania mkali kwa Mr. President katika ule mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia CCM mwaka 2005. Alishika nafasi ya tatu nyuma ya Dkt. Salim Mohamed Salim na Dkt. Kikwete.
WASEMAVYO WASHIKA DAU
Wapo miongoni mwa wataalamu wa masual ya siasa nchini wanaoamini kuwa Mark Mwandosya na Jakaya Kikwete ni maswahiba wakubwa, na ushiriki wa Prof. Mark katika ule mchakto wa 2015 ulikuwa ni mpango kazi " strategic move" kupunguza na kugawa kura ambazo zingeenda kwa Dkt. Salim Ahmed Salim, kwahiyo Prof. Mark alishiriki kwa kiwango kikubwa sana kurahisisha ushindi na uteule wa Dkt. Kikwete. Wapo wanaoamini Ushiriki wa Prof. Mark ni zaidi ya ule uliokuwa unaitwa mtandao.
Wapo wanoamini kuna kitu ndani ya hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya. Lakini hatuwezi kufanya hitimisho ambalo halijafanyiwa utafiti. Jambo muhimu ni kwanza kujua hizo Kazi Maalum ni Zipi?
" As Africans our last hope is Scientific Socialism"
The Late Comrade Siad Barre