Hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya ni zipi?

May 10, 2012
92
71
Mnamo tarehe 22 ya Mwezi huu wa Tano, Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alimwapisha mpinzani wake wa karibu katika mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (C.C.M) mwaka 2005 Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais kwa KAZI MAALUM.

Swali langu ni hapo kwenye red, hizo kazi maalum ni zipi? As political analyst ( Mchambuzi wa Masual ya Kisiasa) kuna swali moja tu ambalo bado linakosa jibu la uhakika.swali hilo ni hili hapa chini.

Kwanini Prof. Mwandosya?

Ikizingatiwa hayo yafuatayo

1. Afya ya Prof. Mwandosya bado haijaimarika. Na yeye alikiri kuwa kwa kusema " Afya Kwanza"
2.Prof. Mark Mwandosya alitoa upinzania mkali kwa Mr. President katika ule mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia CCM mwaka 2005. Alishika nafasi ya tatu nyuma ya Dkt. Salim Mohamed Salim na Dkt. Kikwete.

WASEMAVYO WASHIKA DAU

Wapo miongoni mwa wataalamu wa masual ya siasa nchini wanaoamini kuwa Mark Mwandosya na Jakaya Kikwete ni maswahiba wakubwa, na ushiriki wa Prof. Mark katika ule mchakto wa 2015 ulikuwa ni mpango kazi " strategic move" kupunguza na kugawa kura ambazo zingeenda kwa Dkt. Salim Ahmed Salim, kwahiyo Prof. Mark alishiriki kwa kiwango kikubwa sana kurahisisha ushindi na uteule wa Dkt. Kikwete. Wapo wanaoamini Ushiriki wa Prof. Mark ni zaidi ya ule uliokuwa unaitwa mtandao.

Wapo wanoamini kuna kitu ndani ya hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya. Lakini hatuwezi kufanya hitimisho ambalo halijafanyiwa utafiti. Jambo muhimu ni kwanza kujua hizo Kazi Maalum ni Zipi?





" As Africans our last hope is Scientific Socialism"

The Late Comrade Siad Barre





 
Mnamo tarehe 22 ya Mwezi huu wa Tano, Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alimwapisha mpinzani wake wa karibu katika mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (C.C.M) mwaka 2005 Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais kwa KAZI MAALUM.

Swali langu ni hapo kwenye red, hizo kazi maalum ni zipi? As political analyst ( Mchambuzi wa Masual ya Kisiasa) kuna swali moja tu ambalo bado linakosa jibu la uhakika.swali hilo ni hili hapa chini.

Kwanini Prof. Mwandosya?

Ikizingatiwa hayo yafuatayo

z

1. Afya ya Prof. Mwandosya bado haijaimarika. Na yeye alikiri kuwa kwa kusema " Afya Kwanza"
2.Prof. Mark Mwandosya alitoa upinzania mkali kwa Mr. President katika ule mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia CCM mwaka 2005. Alishika nafasi ya tatu nyuma ya Dkt. Salim Mohamed Salim na Dkt. Kikwete.

WASEMAVYO WASHIKA DAU

Wapo miongoni mwa wataalamu wa masual ya siasa nchini wanaoamini kuwa Mark Mwandosya na Jakaya Kikwete ni maswahiba wakubwa, na ushiriki wa Prof. Mark katika ule mchakto wa 2015 ulikuwa ni mpango kazi " strategic move" kupunguza na kugawa kura ambazo zingeenda kwa Dkt. Salim Ahmed Salim, kwahiyo Prof. Mark alishiriki kwa kiwango kikubwa sana kurahisisha ushindi na uteule wa Dkt. Kikwete. Wapo wanaoamini Ushiriki wa Prof. Mark ni zaidi ya ule uliokuwa unaitwa mtandao.

Wapo wanoamini kuna kitu ndani ya hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya. Lakini hatuwezi kufanya hitimisho ambalo halijafanyiwa utafiti. Jambo muhimu ni kwanza kujua hizo Kazi Maalum ni Zipi?





" As Africans our last hope is Scientific Socialism"

The Late Comrade Siad Barre





Nini kinaendelea kati ya Mr. President na Mr. Mwandosya? Ikizingatiwa ya kwamba Prof. Mwandosya alikua ni mpinzani mkali wa Kiwete katika mchakato ule wa 2015.
Kuhusu suala la urais amesema anaitazamia afya yake ndio aamue kama atagombea au la. Habari kamili ungana na sisi baadaye au nunua mwananchi kesho.

Kazi zipo nyingi tu, Unajua mwandosya ni Profesa , nchi inahitaji sana mchango wake, hivyo naamini rais ameona mbali kama kawaida yake.
 
sijaona point ya msingi bado. angeachwa mngesema JK amepata nafasi ya kumuacha mpinzani wake. mi nafikiri mtu anapoanzisha mada awe na detailed informations jamani, tusiumizane vicha bila sababu.
SIO LAZIMA KILA MTU AANZISHE MADA, WENGINE TUNAWEZA KUWA WASOMAJI TU WA MADA. huu ni wangu mtazamo tu, washkaji msikasirike.
 
Huu ni ufujaji wa pesa zetu bure, huwezi kumchangua MGONJWA ambaye wataalamu (madaktari) wameshauri anahitaji mda mrefu wa kumpumzika kuwa waziri.

There is no any excuse kwa uteuzi Prof. Kama alishindwa kumtumia wakati akiwa mzima wa AFYA atawezaje kumtumia sasa hivi wakati Prof ni MGONJWA?

Tukomeshe haya katika KATIBA mpya. Katiba mpya iseme wazi kama USA kwamba tutakuwa na wizara kwa MAJINA na IDADI. Hakutakuwa na wizara isiyo maalumu, ili kukomesha kugawawiana vyeo kwa huruma.
 
Mnamo tarehe 22 ya Mwezi huu wa Tano, Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alimwapisha mpinzani wake wa karibu katika mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (C.C.M) mwaka 2005 Prof. Mark Mwandosya kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais kwa KAZI MAALUM.

Swali langu ni hapo kwenye red, hizo kazi maalum ni zipi? As political analyst ( Mchambuzi wa Masual ya Kisiasa) kuna swali moja tu ambalo bado linakosa jibu la uhakika.swali hilo ni hili hapa chini.

Kwanini Prof. Mwandosya?

Ikizingatiwa hayo yafuatayo

1. Afya ya Prof. Mwandosya bado haijaimarika. Na yeye alikiri kuwa kwa kusema " Afya Kwanza"
2.Prof. Mark Mwandosya alitoa upinzania mkali kwa Mr. President katika ule mchakato wa kupata mgombea wa Urais kupitia CCM mwaka 2005. Alishika nafasi ya tatu nyuma ya Dkt. Salim Mohamed Salim na Dkt. Kikwete.

WASEMAVYO WASHIKA DAU

Wapo miongoni mwa wataalamu wa masual ya siasa nchini wanaoamini kuwa Mark Mwandosya na Jakaya Kikwete ni maswahiba wakubwa, na ushiriki wa Prof. Mark katika ule mchakto wa 2015 ulikuwa ni mpango kazi " strategic move" kupunguza na kugawa kura ambazo zingeenda kwa Dkt. Salim Ahmed Salim, kwahiyo Prof. Mark alishiriki kwa kiwango kikubwa sana kurahisisha ushindi na uteule wa Dkt. Kikwete. Wapo wanaoamini Ushiriki wa Prof. Mark ni zaidi ya ule uliokuwa unaitwa mtandao.

Wapo wanoamini kuna kitu ndani ya hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya. Lakini hatuwezi kufanya hitimisho ambalo halijafanyiwa utafiti. Jambo muhimu ni kwanza kujua hizo Kazi Maalum ni Zipi?





" As Africans our last hope is Scientific Socialism"

The Late Comrade Siad Barre





Nini kinaendelea kati ya Mr. President na Mr. Mwandosya? Ikizingatiwa ya kwamba Prof. Mwandosya alikua ni mpinzani mkali wa Kiwete katika mchakato ule wa 2015.
Kuhusu suala la urais amesema anaitazamia afya yake ndio aamue kama atagombea au la. Habari kamili ungana na sisi baadaye au nunua mwananchi kesho.

the citizen la leo wamesema why kikwete retained mwandosya????
 
...Kwa kuwa Prof Mwandosya bado afya yake haijarudi katika hali yake ya awali, na bila shaka atarudi katika hali yake soon panapo majaliwa...

...Na kwa kuwa kwa sababu ya changamoto anayoipitia sasa haitakuwa vyema kwa sasa kumpa pilikapilika za kila siku za wizara moja kwa moja...

...Lakini kwa kuwa maamuzi ya mambo yote ya msingi ya nchi katika wizara zote yanafanywa na Baraza la Mawaziri...

...Na kwa kuwa mawazo na fikra za Prof Mwandosya bado zinahitaji sana katika ufikiaji wa maamuzi hayo muhimu yanayofanywa na Baraza la Mawaziri....

....Na kwa kuwa ili Prof Mwandosya aweze kushiriki katika vikao vya Baraza la Mawaziri ni lazima awe Waziri...

....Hivyo, kumpa Uwaziri wa Wizara Maalumu likawa ndilo chaguo bora zaidi....
 
hujui kazi maalumu waliyonayo ccm na serikali yake kwa kifupi ccm ni chama cha matanuzi,hivyo kazi maalum ni kutanua pamoja,usijisumbue kuuliza siku ingine sawa
 
Cha muhimu kwa sasa ni afya yake itengemae. Sijui kazi maalumu ndio nini ila Ikulu kuna kazi nyingi hata kusoma makaratasi yanayoletwa kutoka kila kona inaweza ikawa kazi maalumu pia.
 
Back
Top Bottom