Kyamkwikwi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 441
- 146
- Thread starter
- #21
Ndugu yangu,
Wasamehe tu bure na zidi kuwaelimisha ni upofu tu si kosa lao, waombee Mola awape ufahamu na akili ya kufikiria na kung'amua mambo katika mazingira yanayowazunguka. Unajua nyote mnaweza kuona jambo moja na kusikia sauti ile ile lakini ni namna gani kila mmoja akili yake inaweza kutafasiri kisahihi alichokiona na kukisikia ni tofauti.Wako wengi ambao mpaka wanyeshewe mvua ndo hutambua kuwa mawingu waliyoona ndo ilikuwa ishara ila baada ya hapo huwa wanafunzi makini zaidi.
Wasamehe tu bure na zidi kuwaelimisha ni upofu tu si kosa lao, waombee Mola awape ufahamu na akili ya kufikiria na kung'amua mambo katika mazingira yanayowazunguka. Unajua nyote mnaweza kuona jambo moja na kusikia sauti ile ile lakini ni namna gani kila mmoja akili yake inaweza kutafasiri kisahihi alichokiona na kukisikia ni tofauti.Wako wengi ambao mpaka wanyeshewe mvua ndo hutambua kuwa mawingu waliyoona ndo ilikuwa ishara ila baada ya hapo huwa wanafunzi makini zaidi.
Shehe ponda amefufua watu,watu walewale waliokuwa wanashangilia askari kupiga mabomu na kuua raia kwenye mikutano ya kisiasa usiku mzima wa jana nimesoma post zao wakiwalaani polisi.Namuachia Mungu watu hao atajua atakavyowalipa.