Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Shangazi nimekuja,japo sina nia kukukwaza.
ahadi yetu umevunja,japo ni kwa mara ya kwanza.
yangu shida sikuoni ukija,kutatua kile ninacho kiwaza.
waweza sema chizi kaja,ni love stress kutwa kuwaza.
shangazi usichelewe kuja,mapenzi yanimaliza.
ni CL tu shangazi,yeye kagoma kunipenda.
pengine ukija wewe shangazi,CL atanipenda
wajua maumivu ya penzi,hasa pale ukipenda usipopenda.
njoo hima shangazi,Cl aweza nipenda.
tulikubaliana shangazi,zawadi nikakuhaidi.
lakini sikuoni shangazi,siamini kama wakaidi.
usiogope wako kipenzi,kwakua hili halipendi Madame B shangazi,ukifanyikisha nakupa zawadi
ahadi yetu umevunja,japo ni kwa mara ya kwanza.
yangu shida sikuoni ukija,kutatua kile ninacho kiwaza.
waweza sema chizi kaja,ni love stress kutwa kuwaza.
shangazi usichelewe kuja,mapenzi yanimaliza.
ni CL tu shangazi,yeye kagoma kunipenda.
pengine ukija wewe shangazi,CL atanipenda
wajua maumivu ya penzi,hasa pale ukipenda usipopenda.
njoo hima shangazi,Cl aweza nipenda.
tulikubaliana shangazi,zawadi nikakuhaidi.
lakini sikuoni shangazi,siamini kama wakaidi.
usiogope wako kipenzi,kwakua hili halipendi Madame B shangazi,ukifanyikisha nakupa zawadi
Last edited by a moderator: