Hizi ni sababu za kwanini Marekani inachelewa au kuogopa vita na North Korea

Tusidanganyan usa anaogopa mkorea anaweza mnyosha,
Na pili hana uungwaji mkono wa 1 kwa 1,cz anahaha kutafta mchina mara mkorea Kusini.....ili wamtie moyo km Libye huko,
Ukizingatia hata Somalia miaka ile USA katekwa na ndege zake,kwa hiyo anaogopa mioshi ya kuni kuunguza kibanda white house!!!
Hawaogopani
 
Kila nikiangalia hii video natabasamu sana, Yani wanavyotuaminisha wamarekani ni hatari kumbe hamna lolote, Mtu mwenye training kama CIA halafu unapigwa na kiaskari cha getini tu, Mbwembwe zao nyingi nikutumia mabomu na teknolojia lakini man to man nadhani hata comandos wetu pale Moro watawacharaza vibaya sana
 
Umejitahidi mkuu.

Hatahivyo wataalamu wa masuala ya kijeshi wa marekani na S/korea wana wasiwasi kuwa wakifanya pre emptive attack kwa north korea itakuwa hatari sana maana hawana uhakika na maeneo yote yenye silaha za nyuklia, hivyo basi wakimshambulia korea kaskazini bila kuangamiza silaha zote, n/korea anaweza tumia silaha zitakazokuwa zimebaki kuwashambulia kwa nyuklia.

Sababu ya pili wanasema tabia ya Kim Jong Un ni kikwazo pia maana hajaribiwi hata kidogo, kwa maana kuwa hata wakisema wanamshambulia kwenye baadhi tu ya maeneo kama ishara ya kumuonya asiendelee na mpango wake wa nyuklia, Kim atawajibu kwa vita kamili bila mzaha wala kusitasita.

Sababu ya 3 wakasema kuwa wananchi wa korea kaskazini wameshaaminishwa tangu utotoni kuwa marekani ndiye adui wao namba moja, kwahiyo hata marekani wakiivamia k/kaskazini wasitarajie kupewa sapoti ya wananchi badala yake watarajie pia vita dhidi ya raia kwa muda mrefu.

Nakadhalika. . . . . .

Source: new york times na usa today.
Nimekusoma sana mkuu...ila hiyo tabia ya kutojalibiwa ndo nayoipenda kwa Kim...maan marekan akijua anaweza kukutingisha bas hutakua salam
 
Kwanza, vita hii ikianza, wataoumia ni N. Korea, then zinafuatia nchi zote tegemezi kama zetu. Then uchumi wa dunia kiujumla, halafu fainali ni Marekani, Urusi na China.

Msijidanganye eti Marekani anaiogopa Korea. India tu inaweza ikaimaliza N.Korea.

Shida ni kwa jinsi gani madhara yake ni makubwa especially kwa ambao hawajashiriki kabisa.

Marekani anachoogopa ni economic catastrophe bas...

Maana wakilianzisha tu, Urusi na China nao wanaingia. Na kwa jinsi tulivyo connected kwa sasa, tutaumia woote.
Labda ingekuwa Libya ya enzi za Ghadafi. Maana walikuwa si tegemezi popote.

Kwa hiyo tukae tujue kama hii sio vita ya 3 ya dunia, bas ya 2.5.

Kama mtu anabisha, angalia mambo trump anayofanya. Israel na palestina kimeshanuka zaidi, tena upya. Marekani wanaamisha ubalozi wao kwenda Jerusalem. Nchi za usuluhishi wamepanic na wanaosupport palestina wamemaindi...

Fanyeni utafiti... Akilianzisha mmoja tu, tunaungua wote.

Ndo maana wanatishiana kingaleloo.
 
Sio kweli Marekani haigopi Korea kaskazini.
Wanapanga mikakati,wanatafuta sababu za kutosha kuhalalisha vita na pia wanapanga jinsi Korea itakavyotawaliwa baada ya vita.
Kim anatengenezewa mkakati wa kumuondoa madarakani kupitia kwa watu wake mwenyewe ila yeye hajui hilo. Watamgeuka wala hatajua nini kimetokea.
Wanampa imani kuwa kwa sasa anazo nguvu za kijeshi kupambana na taifa lolote ikiwemo Marekani, sio kweli anadanganywa.
Sadam Hussein aliaminishwa na Majenerali wake kuwa alikuwa na uwezo wa kwenda hadi Yesusalem na yeye akaamini hivyo! Aliposhambuliwa na kuondolewa madarakani waliorahisisha anguko lake ni majenerali wake tena aliowaamini sana.
So for Kim its only a matter of time.
 
Sio kweli Marekani haigopi Korea kaskazini.
Wanapanga mikakati,wanatafuta sababu za kutosha kuhalalisha vita na pia wanapanga jinsi Korea itakavyotawaliwa baada ya vita.
Kim anatengenezewa mkakati wa kumuondoa madarakani kupitia kwa watu wake mwenyewe ila yeye hajui hilo. Watamgeuka wala hatajua nini kimetokea.
Wanampa imani kuwa kwa sasa anazo nguvu za kijeshi kupambana na taifa lolote ikiwemo Marekani, sio kweli anadanganywa.
Sadam Hussein aliaminishwa na Majenerali wake kuwa alikuwa na uwezo wa kwenda hadi Yesusalem na yeye akaamini hivyo! Aliposhambuliwa na kuondolewa madarakani waliorahisisha anguko lake ni majenerali wake tena aliowaamini sana.
So for Kim its only a matter of time.
Ni ngumu sana na kitu ambcho probability yke ni almost to zero to happen.....ogopa mtu aliyekomazwa na itikadi toka utotoni kuwa marekani ndo adui yao mkubwa na familia ya kim jong ndio wakomboz wao...Je unajua sheria ya North korea ikiwa kiongoz mkubwa wa jeshi ata kama ni jeneral akafanya jambo lolote la usaliti wa nchi yao basi mwanajeshi wa chini kabisa mfano private anaruhusiwa kumpiga risasi bila kupewa order zen baadae utapandishwa kizimban kujustify wakat mtu kashakufa otherwse ur family n u will be executed..hii iliwekwa kuzuia mapinduz..mwanajesh mkubwa aogope mdogo wakat akifikiria kufnya mapinduz
 
Kim anatengenezewa mkakati wa kumuondoa madarakani kupitia kwa watu wake mwenyewe ila yeye hajui hilo. Watamgeuka wala hatajua nini kimetokea.

Wakati mwingine acheni upumbavu,yaan aaundiwe zengwe yeye Kim asijue ujue wewe uliopo kishumundu huko. Pumbavu kabisa
 
Back
Top Bottom