Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
1. Ukiota unahesabu hela
Hii inamaanisha kwamba nyota yako ya UTAJIRI imeshaibiwa na wachawi.
2. Ukiota unawaona watu waliokwisha kufa zamani
Hii inamaanisha tayari na wewe unaandamwa na ROHO YA MAUTI, unatafutwa kuuawa kwa namna yoyote.
3. Ukiota umeyarudia maisha ya utotoni, shule ya msingi au sekondari wakati ulihitimu chuo kikuu zamani
Hii inamaanisha unafuatiliwa na ROHO YA KUANGUKA, hii ni dalili ya kufungwa na roho za mizimu na mababu.
4. Ukiota unafukuzwa na maadui
Hii inamaanisha WACHAWI WANAKUTUMIA kwenye mambo yao pasipo wewe kujijua.
5. Kuota unakula/ kulishwa vyakula usingizini/ ndotoni
Hii inamaanisha UMEPANDIKIZWA ROHO ZA KICHAWI na za mizimu mwilini mwako.
6. Ukiota unafanya mapenzi
Hii inamaanisha UNAMILIKIWA NA MAJINI MAHABA, na hiki ndicho chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika na wengi kuwa na tatizo la utasa na hata wanawake kutoolewa kabisa.
Pale unapoota ndoto za namna hii na zile ambazo sikuzitaja, basi ujue unahitaji maombi ya UKOMBOZI kwani hiyo ni dalili ya kufungwa na NGUVU ZA GIZA.
Hii inamaanisha kwamba nyota yako ya UTAJIRI imeshaibiwa na wachawi.
2. Ukiota unawaona watu waliokwisha kufa zamani
Hii inamaanisha tayari na wewe unaandamwa na ROHO YA MAUTI, unatafutwa kuuawa kwa namna yoyote.
3. Ukiota umeyarudia maisha ya utotoni, shule ya msingi au sekondari wakati ulihitimu chuo kikuu zamani
Hii inamaanisha unafuatiliwa na ROHO YA KUANGUKA, hii ni dalili ya kufungwa na roho za mizimu na mababu.
4. Ukiota unafukuzwa na maadui
Hii inamaanisha WACHAWI WANAKUTUMIA kwenye mambo yao pasipo wewe kujijua.
5. Kuota unakula/ kulishwa vyakula usingizini/ ndotoni
Hii inamaanisha UMEPANDIKIZWA ROHO ZA KICHAWI na za mizimu mwilini mwako.
6. Ukiota unafanya mapenzi
Hii inamaanisha UNAMILIKIWA NA MAJINI MAHABA, na hiki ndicho chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika na wengi kuwa na tatizo la utasa na hata wanawake kutoolewa kabisa.
Pale unapoota ndoto za namna hii na zile ambazo sikuzitaja, basi ujue unahitaji maombi ya UKOMBOZI kwani hiyo ni dalili ya kufungwa na NGUVU ZA GIZA.