kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,922
January Makamba na mwigulu walipiga billion 1.7 wakati kampeni ikiendelea huku wakiwa na tuhuma zingine kibao zikiwemo za mwigulu kuchukua pesa za Escrow kwenye Gunia na kupokea 10% toka kwa wazabuni wote waliokuwa wakiidai Serikali pesa nyingi.
Mungu isaidie Tanzania