webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 382
Ahhh kumbe ni huyu jamaa.. nilishawahi kupata tetesi kuwa ni mpiga mizinga maarufu sana hapa mjini. kumbe jamaa ni wa hovyo sana..
Kwa wale wasiomjua ni huyu hapa.
View attachment 275255
Jamaa ni hatari sana kwa kupiga mizinga, ni ile type ya kina Yahaya aliyeimbwa na JDee. Na nafikiri akifanyacho ni kama kile wafanyacho Buk7 wa JF