mambo wachangiaji wa jf,mi nna swali hivi hawa wenzetu wasukuma wakija kukutembelea mpaka uwasongee ugali ata kama saa za lunch zimeisha? vijisambusa,vikacholi vikaranga na soda kwao havipandi watakusema ah huyu shemeji mchoyo ukienda kumtembelea hakupikii!!!!ninyumbulisheni anti yangu kaolewa na msukuma ajionea mauza uza kutwa wageni na mizigo yao na wanataka wasongewe ugali.